Wakuu msaada nahitaji ku-root simu yangu lakini inagoma

Baba Rhobi

JF-Expert Member
Nov 4, 2020
1,305
2,182
Wapendwa naombeni msaada wenu niweze kuroot simu yangu, ni sony xperia z3 compact running android 6.0.1, nimejaribu kingoroot wapi, ila sijajaribu king root make sipend king user mi nahitaji super user mwenye ujuzi tafadhali anipe mwongozo.
 
Ok watakuja boss

Hivi njia zipi nifuate ili ni root haka kakimeo changu Chief
 
Wapendwa naombeni msaada wenu niweze kuroot simu yangu, ni sony xperia z3 compact running android 6.0.1, nimejaribu kingoroot wapi, ila sijajaribu king root make sipend king user mi nahitaji super user mwenye ujuzi tafadhali anipe mwongozo.
Simu zenye locked bootloader ni mpaka u unlock kwanza Kisha Ndio u root.

Cha kwanza kabisa ni kujua ni model gani ya z3 compact unayo, nenda setting Kisha about kuangalia.
 
Simu zenye locked bootloader ni mpaka u unlock kwanza Kisha Ndio u root.

Cha kwanza kabisa ni kujua ni model gani ya z3 compact unayo, nenda setting Kisha about kuangalia.
Bro na unlock vipi bootloader mwongozo tafadhali
 
Kuroot simu za Sony hasa za Android 6 kwenda juu kuna risk kubwa sana. Ni lazima uwe na PC na lazima ku unlock bootloader. Simu hzi sikuhz zina secure boot, ukiroot bila kuzima secure boot na ku unlock bootloader simu yako haitawaka.

Sahau kingoroot na king root hzo haiziwezi fanya kazi kwenye hyo simu (hzo app ni za zamani na zinafanya kazi kwenye android version za zamani na zisizokua na security nzuri)

Unatakiwa kutumia Magisk (hii ndio njia inayoshauriwa sikuhz) au Supersu flashsble zip. Unatakiwa kuwa na TWRP kurahisha kazi na kujiokoa kma simu itakapogoma kuwaka.

Pia kaa ukijua kua ukiroot utapoteza DRM keys na device certification kwenye playstore na utapoteza Safetynet pia. Hapa apps kma Netflix, Prime Video, Dstv now, na baadhi ya banking apps hazitafanya kazi kwenye simu yako. DRM keys zako unaweza kuziback up na Safetynet unaweza ipata pia kwa viprocess flani hvi ila bado sio uhakika kma hzo app hapo juu zitafanya kazi.


Ukitaka kuroot kwanza utahitaji twrp ya simu yako: [RECOVERY][UNOFFICIAL] TWRP 3.2.3-0 for aries [01-09-2018]


Pili fata haya maelezo kuinstall magisk na kuhifadhi DRM keys zako: [Solved] Magisk?

Hakikisha unasoma maelekezo vizuri na upo na PC na una stock firmware ya simu yako.

Pia kma Chief alivyosema hapo ujue model number ya simu yako na ipo kwenye software yenye build number gani.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuroot simu za Sony hasa za Android 6 kwenda juu kuna risk kubwa sana. Ni lazima uwe na PC na lazima ku unlock bootloader. Simu hzi sikuhz zina secure boot, ukiroot bila kuzima secure boot na ku unlock bootloader simu yako haitawaka.

Sahau kingoroot na king root hzo haiziwezi fanya kazi kwenye hyo simu (hzo app ni za zamani na zinafanya kazi kwenye android version za zamani na zisizokua na security nzuri)

Unatakiwa kutumia Magisk (hii ndio njia inayoshauriwa sikuhz) au Supersu flashsble zip. Unatakiwa kuwa na TWRP kurahisha kazi na kujiokoa kma simu itakapogoma kuwaka.

Pia kaa ukijua kua ukiroot utapoteza DRM keys na device certification kwenye playstore na utapoteza Safetynet pia. Hapa apps kma Netflix, Prime Video, Dstv now, na baadhi ya banking apps hazitafanya kazi kwenye simu yako. DRM keys zako unaweza kuziback up na Safetynet unaweza ipata pia kwa viprocess flani hvi ila bado sio uhakika kma hzo app hapo juu zitafanya kazi.


Ukitaka kuroot kwanza utahitaji twrp ya simu yako: [RECOVERY][UNOFFICIAL] TWRP 3.2.3-0 for aries [01-09-2018]


Pili fata haya maelezo kuinstall magisk na kuhifadhi DRM keys zako: [Solved] Magisk?

Hakikisha unasoma maelekezo vizuri na upo na PC na una stock firmware ya simu yako.

Pia kma Chief alivyosema hapo ujue model number ya simu yako na ipo kwenye software yenye build number gani.




Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuu ngoja nipitie nione
 
Kwanza mkuu it's very risk kama huna uelewa wa haya mambo

Pili uwe familiar mwenyewe kutumia flash tools kwa Sony Pia siku hizi kuna mbadala wa flash tool inaitwa new flasher yenyewe ina risk ndogo zaidi

Tatu uwe familiar na kwenda fastboot, recovery, debuging mode etc

Nne aina ya kuflash kwa Sony ni tofauti kuna vifile ukiflash kama simu zamani ilikuwa na lock inarudi

Tano, fanya backup including Drm keys, Sony wanazifuta automatic unaporoot inaweza kukusumbua baadae ukiweka apps zinazotaka Drm kama Netflix.


Tutorial hii hapa fuata kwa umakini.

Hakikisha firmware yako ni kama hizo zilizotajwa.
 
Kwanza mkuu it's very risk kama huna uelewa wa haya mambo

Pili uwe familiar mwenyewe kutumia flash tools kwa Sony Pia siku hizi kuna mbadala wa flash tool inaitwa new flasher yenyewe ina risk ndogo zaidi

Tatu uwe familiar na kwenda fastboot, recovery, debuging mode etc

Nne aina ya kuflash kwa Sony ni tofauti kuna vifile ukiflash kama simu zamani ilikuwa na lock inarudi

Tano, fanya backup including Drm keys, Sony wanazifuta automatic unaporoot inaweza kukusumbua baadae ukiweka apps zinazotaka Drm kama Netflix.


Tutorial hii hapa fuata kwa umakini.

Hakikisha firmware yako ni kama hizo zilizotajwa.
Shukrani sana mkuu nkikwama ntaleta mrejesho hapa
 
Mkuu nimepita pita huko Google nimetishwa bora niwe mpore tu asee
Kma hujui mambo ya kuflash simu kupitia fastboot, kutumia adb au jinsi ya kutumia twrp ni bora usifanye haya mambo kwenye simu yako unayotegemea. Mm nilishaua simu kma 3 hvi miaka iliyopita huko lakini matokeo yake ni kwamba nikaelewa jinsi ya kucheza nazo vizuri. Moja ya hizo simu niliwabambikizia Tecno wananibadilishia chini ya warranty na zingine hzo mbili nilikuja kuzirevive kma mwaka mmoja baadae hvi.

Kma hauko tayari na risk ya kuharibu simu na hauna mtu wa karibu anayejua haya mambo ni bora uache tu.

Kuroot na kuflash anza na Tecno (maana hizo hata ukiharibu unaenda calcare wanakuflashia original firmware vizuri tu) na Samsung or Xiaomi ndio rahisi kuroot na kuflash.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kma hujui mambo ya kuflash simu kupitia fastboot, kutumia adb au jinsi ya kutumia twrp ni bora usifanye haya mambo kwenye simu yako unayotegemea. Mm nilishaua simu kma 3 hvi miaka iliyopita huko lakini matokeo yake ni kwamba nikaelewa jinsi ya kucheza nazo vizuri. Moja ya hizo simu niliwabambikizia Tecno wananibadilishia chini ya warranty na zingine hzo mbili nilikuja kuzirevive kma mwaka mmoja baadae hvi.

Kma hauko tayari na risk ya kuharibu simu na hauna mtu wa karibu anayejua haya mambo ni bora uache tu.

Kuroot na kuflash anza na Tecno (maana hizo hata ukiharibu unaenda calcare wanakuflashia original firmware vizuri tu) na Samsung or Xiaomi ndio rahisi kuroot na kuflash.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yan mimi nia yangu ilikuwa baadae niweke linage os lakini na huko Google nimekuta wanasema et lazima uwe na password za bootloader sasa naona suala linazidi kua gum tu.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom