Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,072
MAMBO 10 KUHUSU PRESS YA IGP SIRRO.
1. Ukimtizama usoni kama una just elementary knowledge ya Psychology utagundua kuwa hakuwa anamaanisha anayoongea. Maneno ya kinywa chake na lugha ya mwili wake vilipingana kabisa.
2. Picha aliyoonesha Sirro sio ya CCTV. Ni picha tu ya kuokota mtaani ambayo probably imepigwa kwa simu.
3. Kama ni cctv kwanini haina footage? Kwanini haina tarehe wala muda wa tukio?
4. Na kuanzia lini cctv camera inapiga picha horizontal kama za kuweka instagram? Cctv footage must be aerial kwa sababu camera za cctv hazikai sakafuni, huwa zinatundikwa juu. Tizama hata zile za Bashite akivamia Clouds.
5. Awali polisi walisema CCTV zilishindwa kudetect tukio hilo. Lakini leo Sirro anasema Cctv zilionesha hadi keepleft cha Kawe. Why contradiction? Hizo zilizoshindwa kudetect mwanzoni ni zipi, na hizo zilizoonesha hadi keepleft cha Kawe ni zipi?
6. Gari iliyooneshwa na Sirro inaonekana imepaki nyumbani kwa mtu, hapo sio Collesium Hotel.
7. Gari hiyo ina pancha tairi moja na imepigwa jeki. Je wahalifu waliziba kwanza pancha then wakapiga kwanza selfie gari yao ndipo wakambeba MO?
8. Hizo plate number ni za Msumbiji lakini taarifa za TRA zinaonesha hakuna gari yenye namba hizo iliyotoka Msumbiji na kuingia Tanzania tarehe 1 September. Sirro ametudanganya.
9. Inaweza kuwa hizo ni namba za Bodaboda ama Bajaj za Tanzania zimegeuzwa.
10. Kama polisi wameona gari hiyo hadi keepleft cha Kawe na hawajui ilipoenda, kwanini wasiruhusu wachunguzi wa kimataifa ambao watatumia satelite kujua uelekeo wa gari hiyo kutokea hapo keepleft?
Tusubiri kesho watakuja na move lipi....
1. Ukimtizama usoni kama una just elementary knowledge ya Psychology utagundua kuwa hakuwa anamaanisha anayoongea. Maneno ya kinywa chake na lugha ya mwili wake vilipingana kabisa.
2. Picha aliyoonesha Sirro sio ya CCTV. Ni picha tu ya kuokota mtaani ambayo probably imepigwa kwa simu.
3. Kama ni cctv kwanini haina footage? Kwanini haina tarehe wala muda wa tukio?
4. Na kuanzia lini cctv camera inapiga picha horizontal kama za kuweka instagram? Cctv footage must be aerial kwa sababu camera za cctv hazikai sakafuni, huwa zinatundikwa juu. Tizama hata zile za Bashite akivamia Clouds.
5. Awali polisi walisema CCTV zilishindwa kudetect tukio hilo. Lakini leo Sirro anasema Cctv zilionesha hadi keepleft cha Kawe. Why contradiction? Hizo zilizoshindwa kudetect mwanzoni ni zipi, na hizo zilizoonesha hadi keepleft cha Kawe ni zipi?
6. Gari iliyooneshwa na Sirro inaonekana imepaki nyumbani kwa mtu, hapo sio Collesium Hotel.
7. Gari hiyo ina pancha tairi moja na imepigwa jeki. Je wahalifu waliziba kwanza pancha then wakapiga kwanza selfie gari yao ndipo wakambeba MO?
8. Hizo plate number ni za Msumbiji lakini taarifa za TRA zinaonesha hakuna gari yenye namba hizo iliyotoka Msumbiji na kuingia Tanzania tarehe 1 September. Sirro ametudanganya.
9. Inaweza kuwa hizo ni namba za Bodaboda ama Bajaj za Tanzania zimegeuzwa.
10. Kama polisi wameona gari hiyo hadi keepleft cha Kawe na hawajui ilipoenda, kwanini wasiruhusu wachunguzi wa kimataifa ambao watatumia satelite kujua uelekeo wa gari hiyo kutokea hapo keepleft?
Tusubiri kesho watakuja na move lipi....
