Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Imekuwa ni kawaida ya magamba kumpeleka magufuli kwenye kampeni zao kwenda kuelezea mikakat ya ujenzi wa barabara na madaraja Kama mbinu za ushindi vip kipindi hichi kagoma nini?
lazima watampeleka c unajua tena ccm
Imekuwa ni kawaida ya magamba kumpeleka magufuli kwenye kampeni zao kwenda kuelezea mikakat ya ujenzi wa barabara na madaraja Kama mbinu za ushindi vip kipindi hichi kagoma nini?
Lile la mbutu kashalijenga?
anaweza kwenda tu mkuu, si unajua sisiemu wameshawaona wabongo bado ni walewale, wa kuua kudanganya, kudhulumu rasilimali zao, kuwaongopea miaka na miaka... sisiemu hawana aibu hata kidogo, na hakuna aliyemsafi hata mmoja.. wote ni wakunyonga tu. ova