Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,407
Link ya video please!
Hahaha deadHahaaa.... Haooo.. Stereo kapiga goti kabisa...
Damn... Hip hop is dead.
Mwenyekiti wa ccm karatuHuyo stereo ndo nani?nipo chato mpakani na biharamuro nataka kumjua ni mbunge au Dc?
Sidhani kama wanawekaga YouTube na wala kipindi hakinaga marudio labda wataweka kipande kwenye page yao ya fbMkuu weka lisnk km ipo youtube...
Me n my gf hakuimbiwa demHip hop haif hvo mkuu, ata wakina pack na other walikuwa na feelings zikawafanya kuandika hits
2pac - me n my gf
Kweli hii nchi ina watu wengi. Kumbe kuna watu hawakuwa na habari ya mpira!!Yaani we jamaa inaonekana sio mpenzi kabisa wa mpira
Tatizo lugha ya malkia jamaa alijua real girl friendGirlfriend aliyekuwa anaongelewa pale ni bunduki mkuu. Si demu.
Huyu duuuu yupo smart, demu anae chana na nyimbo kupendwa muheshimu plus alipiga depo kidogo
Nyuma yake mnafanya nin?Tuko nyuma yako brother … we komaaaa
Ile mikato ya miss Tanz ya Solothng,Me n my gf hakuimbiwa dem
Run Nikka Run Nikka,Run Mazafanta RunHip hop haif hvo mkuu, ata wakina pack na other walikuwa na feelings zikawafanya kuandika hits
2pac - me n my gf
Thumb up dude......Run Nikka Run Nikka,Run Mazafanta Run
Duck Ninja Duck Ninja.
"I knew deep inside, baby girl would always be mine Picked you up when you was nine, started out my life of crime With you, bought you some shells when you turned twenty-two"- 2pac
Nine:-9mm aka Mguu wa Kuku
Twenty-two:-22 Calibre Hand gun aka mguu wa kuku
Shells:- Risasi aka Njugu
katibu kata.Huyo stereo ndo nani?nipo chato mpakani na biharamuro nataka kumjua ni mbunge au Dc?
Haya mambo wewe huyawezi,kama upo chato bora ukatafute chakula nasikia kuna njaa,na mkulu hatoi msaada Wa chakula.katibu kata.
Kanyooshwa vibaya.... Yani wanawake wa dar wako imara kuliko wanaume....hahahahaass
Ungeandika kiswahili tuBut they never to media like that.. Especially when you know someone is pretending