Wakuu, hivi Mbowe yuko wapi?

Wakuu, hivi Mbowe yuko wapi?

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Nisiwachoshe na salamu maana nchi iko kwenye maaombolezo

Nilikuwa nataka tu kujua aliyekuwa Mwwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe yuko wapi?

Sijaona akipost chochote kuhusu Watanzania waliouwawa kinyama siku ya maandamano wala kuzungumzia how tense the political atmosphere ilivyo kwa sasa

Ametekwa, bado amenuna au bado yuko bize na biashara zake?

Najua humu jamvini kuna watu mtakuwa na taarifa za wapi alipo huyu baba.

Tunaombeni muongozo
 
Hivi huwa mna matatizo ya akili? Mnachokoza watu mkijibiwa mnaanza kulia hovyo. Mbowe yuko zake kimya ila hamridhiki. Andaeni mawakili wa kuwatetea Heche, Mwaipaya, Hilda na wengine wote waliochochea uhalifu kutendeka.
 
Wakuu,

Nisiwachoshe na salamu maana nchi iko kwenye maaombolezo

Nilikuwa nataka tu kujua aliyekuwa Mwwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe yuko wapi?

Sijaona akipost chochote kuhusu Watanzania waliouwawa kinyama siku ya maandamano wala kuzungumzia how tense the political atmosphere ilivyo kwa sasa

Ametekwa, bado amenuna au bado yuko bize na biashara zake?

Najua humu jamvini kuna watu mtakuwa na taarifa za wapi alipo huyu baba.

Tunaombeni muongozo
Yupo kwake machame, kwa wale wanaopita hiyo barabara nadhan huwa wanamuona kanisan mara nyingi
 
Hivi huwa mna matatizo ya akili? Mnachokoza watu mkijibiwa mnaanza kulia hovyo. Mbowe yuko zake kimya ila hamridhiki. Andaeni mawakili wa kuwatetea Heche, Mwaipaya, Hilda na wengine wote waliochochea uhalifu kutendeka.

The only person ambaye anatakiwa kuwa trigered kiasi hiki Mbowe akitajwa ni MKE WAKE MBOWE.

Vipi Mkuu, so far umemzalia Mbowe watoto wangapi?
 
Hivi huwa mna matatizo ya akili? Mnachokoza watu mkijibiwa mnaanza kulia hovyo. Mbowe yuko zake kimya ila hamridhiki. Andaeni mawakili wa kuwatetea Heche, Mwaipaya, Hilda na wengine wote waliochochea uhalifu kutendeka.
Nlitaka nkuunge mkono
Nliposoma tu id
🛑
 
Hivi huwa mna matatizo ya akili? Mnachokoza watu mkijibiwa mnaanza kulia hovyo. Mbowe yuko zake kimya ila hamridhiki. Andaeni mawakili wa kuwatetea Heche, Mwaipaya, Hilda na wengine wote waliochochea uhalifu kutendeka.
Yaani ccm mna uchungu na mbowe balaaa🤣🤣🤣🤣

Hii ni maajabu🙆‍♂️
 
The only person ambaye anatakiwa kuwa trigered kiasi hiki Mbowe akitajwa ni MKE WAKE MBOWE.

Vipi Mkuu, so far umemzalia Mbowe watoto wangapi?
Mkuu michepuko huwa ina nguvu sana, nyumba ndogo ya mwamba hiyo!.
 
Wakuu,

Nisiwachoshe na salamu maana nchi iko kwenye maaombolezo

Nilikuwa nataka tu kujua aliyekuwa Mwwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe yuko wapi?

Sijaona akipost chochote kuhusu Watanzania waliouwawa kinyama siku ya maandamano wala kuzungumzia how tense the political atmosphere ilivyo kwa sasa

Ametekwa, bado amenuna au bado yuko bize na biashara zake?

Najua humu jamvini kuna watu mtakuwa na taarifa za wapi alipo huyu baba.

Tunaombeni muongozo

Atakuwa anasubiri UBUNGE wa kuteuliwa au UBALOZI.
 
Mbowe bado atakua anakula, na ninafikiri atakuwa na chakula mdomoni.
Akimeza ataongea
 
Mnataka kumuangushia jumba bovu?
Hv mnakumbuka matusi mliyoyaongea dhidi yake?
Au idara yenu ya matusi imemisi kumtukana?

MUACHENI MBOWE!
 
Wakuu,

Nisiwachoshe na salamu maana nchi iko kwenye maaombolezo

Nilikuwa nataka tu kujua aliyekuwa Mwwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe yuko wapi?

Sijaona akipost chochote kuhusu Watanzania waliouwawa kinyama siku ya maandamano wala kuzungumzia how tense the political atmosphere ilivyo kwa sasa

Ametekwa, bado amenuna au bado yuko bize na biashara zake?

Najua humu jamvini kuna watu mtakuwa na taarifa za wapi alipo huyu baba.

Tunaombeni muongozo
Mbowe alilipwa b12 na Samuya kuzuia Lissu asiwe mwenyekiti yeye katumia m300 tu hizo b11.7 zote katia ndani ndiyo maana ametulia anabunya tartiiiib
 
Back
Top Bottom