Wakuu, hivi Mbowe yuko wapi?

Wakuu, hivi Mbowe yuko wapi?

Hivi huwa mna matatizo ya akili? Mnachokoza watu mkijibiwa mnaanza kulia hovyo. Mbowe yuko zake kimya ila hamridhiki. Andaeni mawakili wa kuwatetea Heche, Mwaipaya, Hilda na wengine wote waliochochea uhalifu kutendeka.
Mtu wa ccm anamtetea Mbowe makubwa
 
Wakuu,

Nisiwachoshe na salamu maana nchi iko kwenye maaombolezo

Nilikuwa nataka tu kujua aliyekuwa Mwwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe yuko wapi?

Sijaona akipost chochote kuhusu Watanzania waliouwawa kinyama siku ya maandamano wala kuzungumzia how tense the political atmosphere ilivyo kwa sasa

Ametekwa, bado amenuna au bado yuko bize na biashara zake?

Najua humu jamvini kuna watu mtakuwa na taarifa za wapi alipo huyu baba.

Tunaombeni muongozo
Anguko lake lilikuwa kubwa liliharibu kila plan zake, yeye na wafuasi wake wote wako kimya, hata Boni Yai hasikiki.
 
Mr. Dalali, Tapeli la kisiasa alifutwa kwenye ramani ya siasa za TZ na Tundu lisu
 
Namtafuta muliro sijamsikia post election
 
Back
Top Bottom