Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,425
- 85,869
Duh! umenikumbusha mbali saaana tulikua tunaenda kuoga mtoni ndio yalikua maisha, asubuhi fasta unaenda unadumbikia unaoga unarudi, jioni ukitoka tena vile vile nikahamia boarding Magamba boys (sio CCM pls) now Sebastian Kolowa University College, huko nako kulikua na kajimto tunaenda tunapata maji then tunajianika kwenye mawe, watoto wa Mazinde Juu sio furaha hio wakipita kwenda Oaklands!!!! Asante mkuu umenikumbusha mbali saaaana, tulikua weusi usiseme, baridi ilikua kali sana na maji ya baridi sana