zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,855
Yaani katika kabila ambalo halijui kupetty wanawake ni wakurya yaani hata ndoa zao ni kibabe...
Nasikiaga eti mpaka wanawake wa kikurya wanapigana na waume zao ngoma droo..
Ila wenzetu wagogo na wandengereko eti mwanamke akimkosea anampa rikizo ya kwenda kujirerebisha nchi au mkoa mwingine
Dah wakurya bana
#Iam Zagarino
Nasikiaga eti mpaka wanawake wa kikurya wanapigana na waume zao ngoma droo..
Ila wenzetu wagogo na wandengereko eti mwanamke akimkosea anampa rikizo ya kwenda kujirerebisha nchi au mkoa mwingine
Dah wakurya bana
#Iam Zagarino
nonsense 