Wakumbekeni Viongozi wenu jamani

Pale kwenye JK ungeweka msanii Vasco da Gama ingependeza au tuseme baba Vimwana Mbayuwayu bin Kihiyo bin Kichwa Ngumu.
 
Pale kwenye JK ungeweka msanii Vasco da Gama ingependeza au tuseme baba Vimwana Mbayuwayu bin Kihiyo bin Kichwa Ngumu.
mkuu Father of All Siwezi kumtania Mr JK . Kwetu kumuoja Bwagamoyo halafu mimi si mtani wake na wala siwezi kumfikia kiumri kanizidi ki umri yupo sawasawa na kaka yangu halafu ni Rais wangu nachunga heshima yake mkuu samahani.

 
Last edited by a moderator:
Mkuu kwa photo ulizotoa nimekuelewa siyo kukulewa. Kweli wabongo mna mambo eti huwezi kumtania zaidi ya kumkandia siyo?
 
Mkuu MziziMbichi sorry Mkavu,
Hivi huo utalii unaona ni sifa nzuri wakati Zero wenu anaamini anapofanya utalii yuko kazini na kashakunaku kake?
 
mkuu Father of All Siwezi kumtania Mr JK . Kwetu kumuoja Bwagamoyo halafu mimi si mtani wake na wala siwezi kumfikia kiumri kanizidi ki umri yupo sawasawa na kaka yangu halafu ni Rais wangu nachunga heshima yake mkuu samahani.


Huyo wa mwisho mbona swali halijakamilika? Halafu ana tabasamu kali!
 
Mkuu, kwa jinsi nilivyoelewa utalii uliowekwa hapo kwa dhaifu ni kwamba yeye ndio mtalii ila sio swala la watalii kuja ili tupate pesa za kigeni.Kila siku yeye anatalii nchi za watu na kuchekecheka kwake na hapo anawaza nchi gani hajaenda ili aende kabla ya 2015.


Mkuu.@Father of Al Hujuwi Utalii ndio unaoingiza Pesa za kigeni?Pasipo kuja Watalii tutapata wapi Pesa za kigeni?
 
mkuu Father of All Siwezi kumtania Mr JK . Kwetu kumuoja Bwagamoyo halafu mimi si mtani wake na wala siwezi kumfikia kiumri kanizidi ki umri yupo sawasawa na kaka yangu halafu ni Rais wangu nachunga heshima yake mkuu samahani.


DUHH !!!!! Mkapa hapa ameonewa katuni yake sio mchezo ! na huyu wa mwisho hana woga na kupaa angani ama aliwahi kusomea urubani ?
 
DUHH !!!!! Mkapa hapa ameonewa katuni yake sio mchezo ! na huyu wa mwisho hana woga na kupaa angani ama aliwahi kusomea urubani ?
Mkuu altaaf Mzee Mkapa hajaonewa kitu katuni yake ni nzuri kama jinsi inavyojieleza yeye Mzee mkapa si mfupi kisha anacho kifriji? sasa kwanini ameonewa?
 
Last edited by a moderator:
Huyo wa mwisho mbona swali halijakamilika? Halafu ana tabasamu kali!
bibie mwaJ huyo wa mwisho swali lake halitaweza kukamilika mpaka amalize muda wake aje mwengine si unajuwa bado yupo madarakani?
 
Last edited by a moderator:
mkuu Father of All Siwezi kumtania Mr JK . Kwetu kumuoja Bwagamoyo halafu mimi si mtani wake na wala siwezi kumfikia kiumri kanizidi ki umri yupo sawasawa na kaka yangu halafu ni Rais wangu nachunga heshima yake mkuu samahani.


Samahani mkuu, nachojua mimi Tanzania ni nchi isyofungamana na upande wowote! swali kwa nini sijasikia Jakaya katembelea nchi zifuatazo Afghanistan, Iraq, Pakistan, Syria, Lebanon, Israel, Cuba, Venezuela, Madahascar, Iran, DRC, Bulgaria, Czech, Uzbekistan etc. hta Burundi na Rwanda kwa nini???????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…