mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,047
- 1,503
WanaJF, Salaam!
CCM kina bahati nzuri ya kupendwa sana na makundi makubwa ya Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi
Hii inatokana na Mhe. John Pombe Magufuli (Rais wa JMT) kutekeleza kwa asilimia 95 ahadi zake za mwaka 2015 kama ioneshavyo kwa muhtasari:-
(i). Serikali kununua zao la Korosho kwa bei nzuri,
(ii). Serikali kupunguza kodi kwenye zao la Kahawa,
(iii). Serikali kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara nchini,
(iv). Serikali kuendelea kuthamini mchango wa wafanyakazi nchini
CDM na washirika wake jiandaeni kuisoma namba mwaka 2020 lkn pia nawaomba kwa umoja wenu mmuunge mkono Rais katika kazi zake nzuri za kuliletea taifa maendeleo.
Maendeleo haya chama!
MK 2019
CCM kina bahati nzuri ya kupendwa sana na makundi makubwa ya Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi
Hii inatokana na Mhe. John Pombe Magufuli (Rais wa JMT) kutekeleza kwa asilimia 95 ahadi zake za mwaka 2015 kama ioneshavyo kwa muhtasari:-
(i). Serikali kununua zao la Korosho kwa bei nzuri,
(ii). Serikali kupunguza kodi kwenye zao la Kahawa,
(iii). Serikali kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara nchini,
(iv). Serikali kuendelea kuthamini mchango wa wafanyakazi nchini
CDM na washirika wake jiandaeni kuisoma namba mwaka 2020 lkn pia nawaomba kwa umoja wenu mmuunge mkono Rais katika kazi zake nzuri za kuliletea taifa maendeleo.
Maendeleo haya chama!
MK 2019