zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,100
- 26,113
mkuu kubali hujui kitu kuliko kujitutumua kwa ujinga huu ulio andikaHayo ni makubariano ya anayetoa mkopo na anayepokea, mnunuaji hayamhusu na hajui na Hana haja ya kujua muuzaji anadaiwa wapi na ni kiasi gani, kwani alipokuwa anakopa huyo pembejeo, mnunuaji alipewa taarifa ?? Iweje Leo yupo katika kununua umjie na habari zako hizo?? Mtadaiana huko mlikokopeshana