Wakubwa "wampiga" Rais Magufuli e-passport

Wakubwa "wampiga" Rais Magufuli e-passport

sijaelewa walivondika ofisi ya rais pia inahusika ila aliyepigwa ni rais.....kwan ofisi ya rais rais hayumo???
 
Ukiona mtu anajua kabisa bei ya unga na historia yake ni dalili kwamba ni maskini wa kutupwa lazima msifu maskini
ni kweli hujakosea kuniita maskini tena ukipenda unaweza niita mkulima.ila napenda kujua utimamu wako wa akili maana sidhani kama mtu aliyeshiba na tajiri ataandi factless kama hizo.hakika wewe ni kati ya wale ambao wataishi kama shetani.
shabash!
 
hakuna wa kumpinga mtukufu raisi J.P magufuli kwan ni raisi wa watu maskini wasio na haki pia walopuuzwa kwa kipindi kirefu sanaa.hao sio wakubwa wa nchi hizo ni title tu za magazetini leo.
rai;tusiandike habari zitakazopelekea kuvuruga amani ya nchi yetu.watanzania ni wamoja tuungane kwa pamoja tumuunge na kumuombea mh.magufuli, tuijenge nchi yetu.
Yeddy guyy
[Gemstone dealer]
Rais wa wanyonge anayewavunji nyumba wananchi wa Kimara waliokaa kwa zaidi ya miaka 30 bila fidia? Hadi benki ya dunia kutishia kusitisha mkopo wa upanuzi wa barabara. Mwandishi wa habari wa mwananchi
 
ni kweli hujakosea kuniita maskini tena ukipenda unaweza niita mkulima.ila napenda kujua utimamu wako wa akili maana sidhani kama mtu aliyeshiba na tajiri ataandi factless kama hizo.hakika wewe ni kati ya wale ambao wataishi kama shetani.
shabash!

Mi kuishi kama shetani ni kuwa na gari moja lenye full tank kila wiki.
 
Pale unapojifanya mjanja kumbe wazako wanakuona fala tu, wanaendelea kupiga kama kawa 😎
 
Siku zote uongozi ni ushirikiano , ukijifanya uongozi ni wako pekee utalia na kusaga meno , hakuna aliyejifanya anajua kila kitu akafanikiwa
 
Mimi ndio rais na ninajua kira kitu nyie ni nani mhoji tumeokoa fedha nyingi mafisadi mritaka kupiga diri sasa nirara mbere na nyie
 
Kabla ya yote ni budi uchunguzi huru na wa kina ufanyike. Na kama taarifa za gazeti la Jamhuri ni za kweli basi kuna ufisadi mkubwa unaendelea chini kwa chini katika idara na miradi ya Serikali ya Awamu ya Tano. Hii itakuwa ni moshi unaofuka lakini moto uko kila kona.
Hautakaa ufanyike
 
hakuna wa kumpinga mtukufu raisi J.P magufuli kwan ni raisi wa watu maskini wasio na haki pia walopuuzwa kwa kipindi kirefu sanaa.hao sio wakubwa wa nchi hizo ni title tu za magazetini leo.
rai;tusiandike habari zitakazopelekea kuvuruga amani ya nchi yetu.watanzania ni wamoja tuungane kwa pamoja tumuunge na kumuombea mh.magufuli, tuijenge nchi yetu.
Yeddy guyy
[Gemstone dealer]
Mkuu jifunze kuweka akiba ya maneno
 
Back
Top Bottom