Stori zake huwa hazikinai, zinachangamsha sana jukwaa! Mambo ya kumwekua mwekua na changamoto ya msitu wa nairoto ni stori matata sana! Huenda akashuka na kitu kutokea kule nanhupo!Mkuu kitoabu ni SHIDA.
story ya
1. Lupatu kinga ya wachawi.
2.Na msitu wa ailoto ni shida.
Story za kitoabu ni nzuri sana.
Ngoja nikacheki mambo yakeKuna FUSO huko mtaa wa pili ana story yake ama hujuwi
FUSO inashusha mzigo nusu nusu njiani