MWananyati
Senior Member
- Feb 3, 2011
- 160
- 53
Salamuni.....
Nimekuwa nafatilia sana michezo ya betting, na nikawa nimependelea kucheza na Bikosports. yaani, najuta hawa jamaa ni wasanii balaa. Leo kulivyo na mechi nyingi Ulaya katika nchi mbalimbali, Jamaa wa biko wameamua kuweka mechi chache tena kutoka katika baadhi ya Ligi. Ligi nyingi Mf, Austria, Scotland, Wales, Czeck etc hazipo. Nyingine wamechagua kati ya mechi 7 zilizopo wanaweka moja tu.
Ni dalili ya kushindwa katikagame? waondoke kama hawawezi na sio kujitangaza kupitia EFM kuwa wana ODDS tamu...
Nimekuwa nafatilia sana michezo ya betting, na nikawa nimependelea kucheza na Bikosports. yaani, najuta hawa jamaa ni wasanii balaa. Leo kulivyo na mechi nyingi Ulaya katika nchi mbalimbali, Jamaa wa biko wameamua kuweka mechi chache tena kutoka katika baadhi ya Ligi. Ligi nyingi Mf, Austria, Scotland, Wales, Czeck etc hazipo. Nyingine wamechagua kati ya mechi 7 zilizopo wanaweka moja tu.
Ni dalili ya kushindwa katikagame? waondoke kama hawawezi na sio kujitangaza kupitia EFM kuwa wana ODDS tamu...