Wakristo Wenzangu Hivi Kumchezea Mungu Ndombolo, Sebene Na Kwaito Alituagiza?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,738
109,177
Shalom Nyote!

Leo Jumapili Hii Nipo KIROHO Zaidi Ila Sitaki Ipite Hivi Hivi Bila Kutoa DUKU DUKU Langu Nililonalo Kwa Kipindi Sasa.

Hivi Sisi WAKRISTO Ni Kwamba Siku Hizi Tumepiga MAENDELEO Ya KIROHO YALIYOTUKUKA au Ndiyo TUNAMKASIRISHA Mwenyezi Mungu Tu?

Siku Hizi Ukienda Kanisani Na Labda Tu Ukiondoa Kwa Sisi WAKATOLIKI TULIOTUKUKA Basi Humo Katika Kanisa Hizo Nyimbo Za DINI Ambazo Zitapigwa Hazitakuwa Na Tofauti Sana Na Masebene Ya Ndombolo, Zitutana, Kwasakwasa, Kibindankoi Na Ekotitee.

Jamani Hivi:

  • Kukatika KIUNO Madhabahuni Ni Halali Kwa Mungu?
  • Waumini Wanacheza Sebene Hadi Wanaelekezeana Makalio Yao Ni Halali Kwa Mungu?
  • Waumini Kucheza Pale Madhabahuni Hadi Wengine WANAJAMBA Na Harufu Sometimes Sisi Tuliokaa Tunaisikia Huku Wakitokwa Na MIJASHO Ni Kupena UPAKO Huko au Kutafutiana Tu NUKSI?
  • Muimbaji au Kwaya Husika Kuvalia Nguo ZILIZOBANA KUNAKOTUKUKA Hadi Unaona Kila Kitu Kilichoumbwa Na Mwenyezi Mungu Huyo Huyo Ni HALALI Kiroho?
Yangu Ni Haya Tu WATUMISHI Wenzangu Wa KIKRISTO Na Naomba ROHO MTAKATIFU AWAONGOZE KATIKA KUNIJIBU MTAKATIFU MWENZENU NILIYETUKUKA. Bwana Yesu ASIFIWE!

Karibuni Na Hata Ndugu Zangu WAISLAMU Nanyi Pia Mnakaribishwa Kuchangia Na Kutoa Pia Maoni Yenu Kwani Naamini Wote TUNAMWOMBA MUNGU Mmoja Ni Hizi Zingine Ni Mbwembwe Zetu Tu SISI Wanadamu.
 
Ujumbe maridhawa ubarikiwe sana mkuu
 
Aisee, hata mimi nilikwazika and I still am na hii trend, so I'm curious to hear others take on this.
Anyway, when I asked I was referred to;.
Arguably I could have questioned the "bible" dancing vs. what we now do, old testament vs. new but...............................
 
Leo Hujawatag Mashosti Zako Wakina Nifah
 
Ni kweli,Lakini we sikiliza ujumbe uliopo katika nyimbo hizo tuu. Ujumbe unapotosha au unajenga..
 
Ndo mana sikanyagi nyumba za ibada yani kumejaa mambo ya ovyo sana huku pesa ikishika namba moja huku ibadala za kiroho zikipuuzwa yani taita ndo wa maana kanisani? Shit upande wa waislamu nako nikutishana tu juu ya siku ya mwisho na kiama sh*iiit nakuwa hopless kiroho wazo linanijia niende nyumba mojawapo ya ibada nikapate chakula cha roho huko na kutana na ujinga tuu bora nivunge nyumbani nifanye mediation
 
Umevurugwa wewe una uhusiano na cameroon.
 
kati ya nyuzi ulizowahi kuleta, huu umepwaya sana, nafikiri ingekuwa wewe mkristo kweli ungekoti hata vifungu vinavyokataa au kuruhusu kucheza, hapa umechemka, rc asili ya uimbaji waujua watokea wapi, wasabato nao wanastaili yao, hata waislam pia wanachezesha vichwa nao wana asili yao uarabuni, je sababu sebene ni staili ya africa ndiyo haifai?
 
Imeandikwa lkn Kwenye biblia japo kifungu sikijui vizuri
Kwamba mtukuzeni mungu wenu kwa nyimbo na vinubi
Aijaindicate watu wacheze stail gani labda kwa sababu teyali zina majina ndio maana imekua gumzo( kiduku,dombolo na style nyingine
 
Kwann kanisa likiongozwa na roho lisibuni mtindo wake mpaka mkaige miziki wenyewe mnaita ya watu wa mataifa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…