TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Hahahahaah unamatusi matamu kweli, unatoa kwenye zile hadith?
Toka lini matusi yakawa matamu?sizani kama dini ndiyo zinafundisha hivyo!!
Hahahahaah unamatusi matamu kweli, unatoa kwenye zile hadith?
Toka lini matusi yakawa matamu?sizani kama dini ndiyo zinafundisha hivyo!!
Nafikiri hii ni hali ya kutoelewa vizuri mafunzoya dini!ni kumpa pole tu na kumuombea abadilike!!kwa nini unakuwa na hasira sana kwenye comment zako nyingi
Toka lini matusi yakawa matamu?sizani kama dini ndiyo zinafundisha hivyo!!
Wala hakuna hasira yoyote piga kazi tu dada acha porojo au unadhani hatuji unafanyia wapi? tutamletea bosi wako ushahidi kuwa muda wake mwingi unautumia jf.kwa nini unakuwa na hasira sana kwenye comment zako nyingi
Kwa hiyo mimi ni freemasons?kwani wewe dini yako inaruhusu kutukana au kuwa na jazba?Huyo jamaa ni shabiki tu kimtazamo yeye ni mpagani hana dini
Wala hakuna hasira yoyote piga kazi tu dada acha porojo au unadhani hatuji unafanyia wapi? tutamletea bosi wako ushahidi kuwa muda wake mwingi unautumia jf.
Kwa hiyo mimi ni freemasons?kwani wewe dini yako inaruhusu kutukana au kuwa na jazba?
Sina maana mbaya mkuu naomba usinielewe vibaya,labda mimi nilikuewa vibaya,nihisi kama vile unashabikia matusi,I am sorry for that!!Mkuu naona umeamua kuhangaika na mimi....kwanini usimwambie huyo shemejio hana sababu ya kuporomosha matusi....Im monkering...thats the whole idea. Hutaona tusi toka kwangu
Fellow T
Ni sehemu ya Ibada zao!
wametunyonya sana kwahiyo ili upenda atleast urudi ni wakristo kutojiingiza katika mambo yanayohusu imani ya kiislam, pia kupigwe hesabu ya pesa yote ambayo kanisa kupitia mkataba feki iliyoutengeneza wa kufanya dhuluma kwa kuchota pesa yetu wote na kujinufaisha wenyewe, kwahiyo pesa yote irudishwe ima serikalini au serikali ya mfumo kristo itoe the same amount kwa taasisi za kiislam.
waislam kama wangekuwa hawana upendo na wakristo kwanza wakristo usingewaluta mjini. kwani wakristo wanatokea kule ambako ustaarabu ulichelewa kufika.[/QUOTE]
Mtoto wa mjakazi hajiri ana jeuri sana.....huwezi kujipima na mtoto wa ahadi hata siku moja.....ameahidiwa kuwa juu atakuwa juu milele, accept position yako ishmael
labda aliyewanyonya ni aliyeweka tofauti ya mtoto wa ahadi Isaka na mtoto wa mjakazi ishmael....kwanza aliwapendelea sana maana alisema hata ishmael nae nitambariki lakini kamwe hatarithi na isaka.....sarah alishaiona hii ghasia mapema akasisitiza afukuzwe maana alileta dharau toka yupo mdogo.....isingekuwa MUNGU wa huruma kangefia jangwani siku ile na tusingekuwa na rabsha hii....ila principal ya MUNGU ni kuumba mharibu ili aharibu
mix with yours
mix with yours