Wakopaji wa fedha

Wakopaji wa fedha

Uzi wa maana sana huu,naamini wenye hii tabia wataacha mara moja kwasababu ni makusudi na kujitoa tu ufahamu

Inashangaza mtu kurudisha hela bila kuzingatia makato
Joanah umepatia kabisa, yaani ni kujitoa ufahamu' kwa makusudi kabisa! Mtu mzima unashindwaje kujua kuwa kuna makato?

Kama hawa viumbe hawaachi hii tabia
wasishangae siku wakikwama wakakuta milango yote imefungwa na hakuna wa kuwasaidia tena.
Wema wetu usitufanye tuonekane wajinga.
 
Kama hufanyi biashara ya pesa usikopeshe pesa ovyo. Niliwahi kumkopesha mtu mmoja wa heshima sana, aliniomba pesa kiasi kwa nafasi yake nikampa kadi, alipokwenda benki akachungulia salio akavuta nyingi zaidi, akarudi na slip kuniambia ameongeza zaidi, sikuona shida, shida kuipata hiyo pesa! Acha tu na urafiki wetu uliisha, na heshima yake tulikwazana nikampeleka mbele tukasuluishwa akanilipa. Nimekoma.
Yaan ukampa kadi? 🙄🙄🙄Kadi ya benki? Mbongo huyo unampa kadi hata angekuwa bilionea as long as ni mbongo sithubutu😂😂🤣...watu mna moyo🙌🙌
 
Kichwa cha Habari

Nimechukia sana: Hivi nyie mnaokopeshwa hela mna funza kichwani au tabia zenu ni za kishoga?

Wakuu salamu,

Nipo na hasira ya kufa mtu na leo situmii ustaraabu hata kidogo. huu upumbavu, ushamba na uhuni unaofanywa na watu wanaokopa hela za dharura

Mtu ana shida, anajiliza na kuomba mpaka unamhurumia Unajinyima, unaingia kwenye benki unamtumia laki 5 au milioni 1 kwenda kwenye simu yake Hapo tayari wewe umeshakatwa makato ya kutuma

Ujinga wao unaanza hapa

Kuchelewesha hela, Hela inakaaaa wweeeh kwake! Wakati anaomba anapiga simu kila sekunde, akishapata anarudisha anavyojisikia yeye mpaka umpigie magoti.

Kurudisha hela kavu, Anarudisha ile laki 5 au milioni 1 kamili! Hivi kichwani mmejaza funza?
Hamjui kulikuwa na makato wakati inatumwa? Yanini mimi niliyemsaidia niingie hasara ya kulipia makato ya shida zake?

Hawa watu sio bure, tabia zao ni za kishoga kabisa Mtu mzima anayejielewa hawezi kuwa na tabia za kilewela, kilegevu na za kisongombingo kwenye hela ya mtu.

Kulialia wakati wa shida halafu ukipata hela unaleta mambo ya hovyo ni tabia za hovyo sana

Mtu hana adabu ya kifedha, hajiongezi kuweka hata ya kutolea, halafu kesho akikwama anategemea umkopeshe tena.
Wakuu mimi nimechukia sana. Ungekuwa wewe, unaweza kumkopesha mpuuzi wa namna hii tena?
Kwa sasa ukimpa mtu mkopo hesabu kama umetoa sadaka tu.

Kuna mtu kanililia sana nimsaidie $2500 kumnunulia na kumtumia vitu Bongo. Kanililia shida saana.

Nimemsaidia, kunirudishia ananizingua.

Nikasema ilikuwa tufanye deals kubwa zaidi, lakini kwa style hii sitaweza na unazibia wengine wote watakaokuja baada yako, kwa sababu Wabongo mnaonekana si waaminifu.
 
Yaan ukampa kadi? 🙄🙄🙄Kadi ya benki? Mbongo huyo unampa kadi hata angekuwa bilionea as long as ni mbongo sithubutu😂😂🤣...watu mna moyo🙌🙌
Aisee ni mtu wa heshima sana, hapo ndio nilijua kuwa Pesa haina heshima, kila mtu ni kibaka akipata nafasi(ndio lugha iliyotamkwa na msuluhishi), Alinifuata mahali ambapo nilikuwa siwezi kutoka, nikampa kadi.
 
Kabisa, kama mtu anakukopa kiroho safi kabisa, lakini kulipa anaona kama anakusaidia wakati ulimkopesha, Wakati mwingine anakulipa kidogo kidogo wakati alimpa kwa mara moja.
hakika! kuna watu wana fikra za ajabu kweli, anakukopa anakwambia nitakupa siku flani, ila kwa sababu umenyaza anaona uyu hana shida nayo anapotezea, na siku nyingine anaweza kuja kukukopa bila aibu kabisa !
 
Kichwa cha Habari

Nimechukia sana: Hivi nyie mnaokopeshwa hela mna funza kichwani au tabia zenu ni za kishoga?

Wakuu salamu,

Nipo na hasira ya kufa mtu na leo situmii ustaraabu hata kidogo. huu upumbavu, ushamba na uhuni unaofanywa na watu wanaokopa hela za dharura

Mtu ana shida, anajiliza na kuomba mpaka unamhurumia Unajinyima, unaingia kwenye benki unamtumia laki 5 au milioni 1 kwenda kwenye simu yake Hapo tayari wewe umeshakatwa makato ya kutuma

Ujinga wao unaanza hapa

Kuchelewesha hela, Hela inakaaaa wweeeh kwake! Wakati anaomba anapiga simu kila sekunde, akishapata anarudisha anavyojisikia yeye mpaka umpigie magoti.

Kurudisha hela kavu, Anarudisha ile laki 5 au milioni 1 kamili! Hivi kichwani mmejaza funza?
Hamjui kulikuwa na makato wakati inatumwa? Yanini mimi niliyemsaidia niingie hasara ya kulipia makato ya shida zake?

Hawa watu sio bure, tabia zao ni za kishoga kabisa Mtu mzima anayejielewa hawezi kuwa na tabia za kilewela, kilegevu na za kisongombingo kwenye hela ya mtu.

Kulialia wakati wa shida halafu ukipata hela unaleta mambo ya hovyo ni tabia za hovyo sana

Mtu hana adabu ya kifedha, hajiongezi kuweka hata ya kutolea, halafu kesho akikwama anategemea umkopeshe tena.
Wakuu mimi nimechukia sana. Ungekuwa wewe, unaweza kumkopesha mpuuzi wa namna hii tena?
Ina hitaji moyo Sana , hiyo ndiyo njia ya kupima kama MTU ana shukrani au la .

Kama umegundua Hana shukrani nazani utakua ushajua cha kufanya .
 
Mnafanya nini kuwapenda wawapendao maana hata makahaba huwapenda wawapendao nanyi mkopeshapo msitizamie kurudishiwa maana hata wenye dhambi hufanya hivyo pia bali nyinyi mtoapo toeni kwa moyo wala mstalajie kupokea kitu
 
Back
Top Bottom