Wakongwe wa music hamtutendei haki

gebu

JF-Expert Member
Apr 3, 2011
402
245
Zamani ndio ulikua music kwelikweli hasa bongofleva.ombi toeni ngoma kama zamani.mpo wengi lakini mpaka sasa nasikiliza ngoma za juma nature a.k.a kibla(kiroboto),prof Jay,Juma mchopanga a.k.a Jay Moe,Rashid Makwilo a.k.a Chidi Benzi(huyu mnyama hatari mno pengo lake halizibiki), MB doggy,dazbaba,Albert Mangwea(apumzike kwa amani) na wengine kibao
 
Hebu tutokee hapa Mbona kuna ngoma kali za kutosha?😂😂 by the way mimi huwa sisikilizi bongo flavour ila naziskiaga za kutosha
 
ongezea Mandojo&Domokaya, Ferooz, mh.Temba, Watengwa, TID, Q Chief, GK, O-10, AY, MwanaFa
 
Music is all about evolution, muziki una evolve from one generation to another so WAKATI wa hbc,kwanza unit,Mr 2 sugu,n.k the way biashara ya muziki ilivyokuwa inafanyika ni tofauti sana na Leo so wasanii inabidi wabadilike ili waendane na soko la sasa HIVI kuanzia aina ya uimbaji,dress code, n.k so let them be.
 
Hiyo ni kawaida nadhani.mambo ya nyakati. Hata majuu, kina R.Kelly wamebaki kujibu kesi tu za ubakaji. Gemu wamewaachia vijana. Kina Ice Cube, Dr.Dre, n.k.hawasikiki kama zama zao. Si kwamba hawaimbi kabisa though, lakini, hawana ule mvuto tena kama zama zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom