Sisi hatuna "alokuambia" ktk Kiswahili, huku Tanganyika.
Wee Mkibosho acha kuzidisha vituko hapa jamvini!?...unaposema "sisi",unamaanisha weye na akina nani!?
Weye una uwezo upi wa kukijua Kiswahili!?....ati mpaka leo ufikie kufunda watu humu mitandaoni!?
kwani weye mlevi mchafu,si una lugha ya kabila lako,au!? Na huyo msukule mwenzio wa Kihehe pia si ana lugha ya Kabila lake pia!? Wewe/nyinyi hamuwakilishi mawazo na fikra za Watanganyika walio wengi! Msiwe kama Chadema kwa kujipa false hope!
Weye na wenzio mnaendeleza tu mawazo yenu ya kilevi yalojaa chuki! Watanganyika woote wenye kujitambua hawahitaji kusikiza khabar za uharo wa chuki khasa toka kwa mlevi kama weye!
acha kutafuta cheap sympathy!
ahsanta.