Wako wapi hamas,hezbollah ,houthi

Wako wapi hamas,hezbollah ,houthi

Mbondijr

Senior Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
173
Reaction score
306
Ndo kusema kwamba wanamuogopa myahudi au shida nini ,nilitegemea jinsi Iran anavompapasa myahudi kwa kipindi hichi hawa Hama's,Hezbollah na houthi wangekua nawao ni muda wao wakulipa kisasi lakini chakushangaza wamepoa kama vile hawapo shenzi kabisa iran shikilia hapo hapo
 
Netanyahu kawachoka mwendo ni kipondo kikali tu. Point of no return
 
Mazayuni ni majanja sana.Ni mwendo wa kuwapiganisha maadui zake vita za muda mrefu ili kuwadhoofisha kiuchumi,kijeshi na kisiasa ili wananchi wawachukie.
 
Ndo kusema kwamba wanamuogopa myahudi au shida nini ,nilitegemea jinsi Iran anavompapasa myahudi kwa kipindi hichi hawa Hama's,Hezbollah na houthi wangekua nawao ni muda wao wakulipa kisasi lakini chakushangaza wamepoa kama vile hawapo shenzi kabisa iran shikilia hapo hapo
Mapema sana bado,vita ndefu hii
 
Walipokuwa wanabondwa iran nayo ilikaa kimya sasa naye kafikiwa wacha abondwe!
 
HAMAS Bado wapo na wanaendelea kupepetana na Israel mpaka leo. Tokea vita ya Iran na Israel ilipuke tarehe 13, wanamgambo wa Houth wameishambulia Israel mara kadhaa.
 
Ndo kusema kwamba wanamuogopa myahudi au shida nini ,nilitegemea jinsi Iran anavompapasa myahudi kwa kipindi hichi hawa Hama's,Hezbollah na houthi wangekua nawao ni muda wao wakulipa kisasi lakini chakushangaza wamepoa kama vile hawapo shenzi kabisa iran shikilia hapo hapo

Umeandika kwa uchungu sana. Kunani?
 
Hao ni kama vipanya vilivyokatwa mikia bado vinaugulia maumivu vikipona vitarudi wakati huo Iran atakuwa tayari amekatwa kichwa
 
Ayatollah: Call up Hezbollah!
IRGC Gen: They hung up
Ayatollah: Call up Hamas!
IRGC Gen: They are dead
Ayatollah: Launch the missiles!
IRGC Gen: We are out
Ayatollah: Sobbing...
 
Ayatollah: Call up Hezbollah!
IRGC Gen: They hung up
Ayatollah: Call up Hamas!
IRGC Gen: They are dead
Ayatollah: Launch the missiles!
IRGC Gen: We are out
Ayatollah: Sobbing...
😂😂😂
 
Juzi wameshambulia mbona 🤣🤣🤣na Houthis wameona Marekani kapiga hewa huko ,sasa angojee jibu lake.
 
Washaanza kukimbia ,mtu anahutubia taifa usiku ...Anajua mziki wake
1000101409.png
 
Ndo kusema kwamba wanamuogopa myahudi au shida nini ,nilitegemea jinsi Iran anavompapasa myahudi kwa kipindi hichi hawa Hama's,Hezbollah na houthi wangekua nawao ni muda wao wakulipa kisasi lakini chakushangaza wamepoa kama vile hawapo shenzi kabisa iran shikilia hapo hapo
Wamelala 🤣🤣🤣
 
Ndo kusema kwamba wanamuogopa myahudi au shida nini ,nilitegemea jinsi Iran anavompapasa myahudi kwa kipindi hichi hawa Hama's,Hezbollah na houthi wangekua nawao ni muda wao wakulipa kisasi lakini chakushangaza wamepoa kama vile hawapo shenzi kabisa iran shikilia hapo hapo
Juzi, nikapata shule kidogo, Middle East, uarabuni, ukanda wa uarab, ni eneo lenye 50% ya rasilimali ya, mafuta, na gesi ya dunia,
Mzungu hawezi, kuluhusu, hiyo rasilimali iwe mikononi mwa, waarab peke Yao, lazima chokochoko zianzishwe, wals G7, wote wanakubaliana na hii,
Huu unnyonge sijuhi utaishia lini, maana, hata umoja wa, BRICS, (Brazil, Russia, china, Iran, China, South Africa) umekaa, kimya tu!
G7 mkristo, NATO, mkristo! Waarab, wanakimbilia mapangoni kama mbwa koko
 
Back
Top Bottom