Ila malikia wa uingereza akirithisha ufalme sawa?Kim sung kurithi uraisi sawa!Akina bush waliporith uraisi sawa! Ila sisi bado tuko nyuma!.Unafikiri kwa nini mpaka leo marekani anawaandama watoto wa Hossama Binladen,si angewaacha tu, ianajua the power of DNA inavyofanya kazi,kama babu yako hakuacha ligacy kwa nini upinge watu walioacha ligacy.Weka kumbukumbu ndugu hutasahaulika.