Wako wapi akina Dotto Biteko na Inno Bashungwa?

Madaraka na vyeo ni vitu vya kupita kikubwa waishi na watu vizuri, wasiwe na majivuno au majigambo kama vyeo watakufa navyo.
 
Bashungwa ni kujipost tu kila siku mara anachunga ng'ombe,Mara anakula ugali..ni kama kachanganyikiwa vile
Alipobwagwa nilifurahi. Maana, kwenye ndoto zake alilfikiria angeteuliwa waziri mkuu. Hakuna Magu wa kupigia magoti na kuteuliwa. Chawa watupu
 
Hakuna mtu aliwahi kushika nafasi ya uwaziri halafu akawa na njaa,sahau hilo .

Huu ni muda na nafasi nzuri kwao kutekeleza miradi yao binafsi
 
Maswali mengine bwana, watu hawana platform ya kuongea, unataka waongee nini?
 
Hakuna mtu aliwahi kushika nafasi ya uwaziri halafu akawa na njaa,sahau hilo .

Huu ni muda na nafasi nzuri kwao kutekeleza miradi yao binafsi
Kwa bahati miradi yao binafsi huwa inapata mafanikio wakiwa serekalini ambapo hupata nafasi za kuiba ili kuipa backup miradi yao. Wakiwa nje ya madaraka miradi yao binafsi huenda kwa mwendo wa kinyonga ama hata kufa.
 
Simu zinaita tu lakini hazipokelewi..

Pimbi ni pimbi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…