Wako wapi akina Dotto Biteko na Inno Bashungwa?

Hakuna mtu aliwahi kushika nafasi ya uwaziri halafu akawa na njaa,sahau hilo .

Huu ni muda na nafasi nzuri kwao kutekeleza miradi yao binafsi
Kwa bahati miradi yao binafsi huwa inapata mafanikio wakiwa serekalini ambapo hupata nafasi za kuiba ili kuipa backup miradi yao. Wakiwa nje ya madaraka miradi yao binafsi huenda kwa mwendo wa kinyonga ama hata kufa.
 
Kuna ule msemo usemao "Ukumwagwa mwagika". Nadhani wameutafsili vizuri zana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…