Wakiristo mnategemea nini?

Wakiristo mnategemea nini?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
“Na anayataka dini isiyokuwa Uislamu, basi hatokubaliwa, naye katika Akhera atakuwa miongoni mwa wenye khasara.”
(Qur'an 3:85)
Mnategemea nini? Mnauweza moto kweli?
 
Nje ya uislam. Huna kitu
Nje ya YESU KRISTO hakuna uzima

Uislam ni nini? Uislam ni tamaduni za waarabu zenye mlengo wa mavazi na majina na ibada za jua na mwezi

YESU KRISTO ni Nan? Ni mwana wa MUNGU wa aliye hai NIKO AMBAYE NIKO, NJIA YA KWELI NA UZIMA , aliye tumwa na babaye kwa ajili ya kuukomboa ulimwengu, watu wake na dhambi zao

Kazi ipo kwako msomaji je umfate YESU KRISTO mwana wa MUNGU aliye hai au ufuate tamaduni za waarabu.
 
Nje ya YESU KRISTO hakuna uzima

Uislam ni nini? Uislam ni tamaduni za waarabu zenye mlengo wa mavazi na majina na ibada za jua na mwezi

YESU KRISTO ni Nan? Ni mwana wa MUNGU wa aliye hai NIKO AMBAYE NIKO, NJIA YA KWELI NA UZIMA , aliye tumwa na babaye kwa ajili ya kuukomboa ulimwengu, watu wake na dhambi zao

Kazi ipo kwako msomaji je umfate YESU KRISTO mwana wa MUNGU aliye hai au ufuate tamaduni za waarabu.
Ukristo ni uzungu, Mila, tamadunni na ibada na majina ya kizungu
 
Kama uislamu ndiyo dini sahihi, mwenye hicho kitabu alishindwa nini kuifanya Dunia iwe na dini moja? Nini kinamzuia kuifanya Dunia iwe na dini moja?

Uzembe wake hautuhusu sisi.
 
Back
Top Bottom