Wakinga wote mapembelo vavene!

Wakinga wote mapembelo vavene!

laigwenan

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2012
Posts
325
Reaction score
80
Ukiachana na umaarufu wa CHUO CHA UALIMU TANDALA,HOSPITALI MAARUFU YA IKONDA labda labda na umaarufu wa mganga wa kienyeji dr.MWAKIPANDE na nyumbani kwa kina Deo Filikunjombe Wakinga wa MAKETE wapo taabani kwa umaskini ulio kidhiri,'KILA KITU WAO NI MWALIMI TU HATA KAMA UNAWADANGANYA,watu hawa wa makete ambao asilimia kubwa ni akina SANGA na MBILINYI hawajui cha kufanya ili umaskini angalau upungue kwao,Ukipita maeneo ya Masisiwe,Ikete,Maliwa,Sunji,LUPILA,Tandala,Lupalilo,Mago,Kasinga,Ndulamo,Iwawa,Idanganya,Makete Junction,Ivalalila ,BULONGWA na kwengineko MAKETE Unaweza ukadhani Watanzania Maskini ZAidi wanapatikana huku,Baada ya sekeseke la ukimwi kuwanyanyasa kwa muda mrefu sasa angalau Presure imepungua ila vijana wanapakimbia kabisa MAKETE hawapa taki kabisa kwasababu huwezi kuwa na hela na ukaishi MAKETE HALI NI MBAYA.
Arthi ya MAKETE inarutuba inayo kosekana sehemu kubwa hapa Duniani lakini Serekali ipo ipo tu,kule Mahindi,NGANO,SHAIRI,MTAMA,ALIZETI VIAZI,na mazao ya MIti yanakubali ile mbaya lakini mpaka leo tarehe 27/11/2013 MAKETE hawajapata Mbolea ya RUZUKU.Madini kila kona kule lakini WAKINGA ni maskini asikuambie mtu.HUku UKINGANI maji si ya tabu kabisa lakini kilimo cha umwagiliaji hakijafika huku kabisa ninahisi haya ni maajabu,Na watu wa huku wanakijua zaidi kilimo cha jembe la mkono katika karne hii ya 21.

MY TAKE:RAFIKI YANGU NAPE HEBU TUAMBIE KWANINI WAKINGA NI MASKINI!
MMELIONGOZA JIMBO HILO KWA MIAKA 50 SASA JE MNAJIPYA LA KUTUFANYIA WATANZANIA WA MAKETE!
 
Ukiachana na umaarufu wa CHUO CHA UALIMU TANDALA,HOSPITALI MAARUFU YA IKONDA labda labda na umaarufu wa mganga wa kienyeji dr.MWAKIPANDE na nyumbani kwa kina Deo Filikunjombe Wakinga wa MAKETE wapo taabani kwa umaskini ulio kidhiri,'KILA KITU WAO NI MWALIMI TU HATA KAMA UNAWADANGANYA,watu hawa wa makete ambao asilimia kubwa ni akina SANGA na MBILINYI hawajui cha kufanya ili umaskini angalau upungue kwao,Ukipita maeneo ya Masisiwe,Ikete,Maliwa,Sunji,LUPILA,Tandala,Lupalilo,Mago,Kasinga,Ndulamo,Iwawa,Idanganya,Makete Junction,Ivalalila ,BULONGWA na kwengineko MAKETE Unaweza ukadhani Watanzania Maskini ZAidi wanapatikana huku,Baada ya sekeseke la ukimwi kuwanyanyasa kwa muda mrefu sasa angalau Presure imepungua ila vijana wanapakimbia kabisa MAKETE hawapa taki kabisa kwasababu huwezi kuwa na hela na ukaishi MAKETE HALI NI MBAYA.
Arthi ya MAKETE inarutuba inayo kosekana sehemu kubwa hapa Duniani lakini Serekali ipo ipo tu,kule Mahindi,NGANO,SHAIRI,MTAMA,ALIZETI VIAZI,na mazao ya MIti yanakubali ile mbaya lakini mpaka leo tarehe 27/11/2013 MAKETE hawajapata Mbolea ya RUZUKU.Madini kila kona kule lakini WAKINGA ni maskini asikuambie mtu.HUku UKINGANI maji si ya tabu kabisa lakini kilimo cha umwagiliaji hakijafika huku kabisa ninahisi haya ni maajabu,Na watu wa huku wanakijua zaidi kilimo cha jembe la mkono katika karne hii ya 21.

MY TAKE:RAFIKI YANGU NAPE HEBU TUAMBIE KWANINI WAKINGA NI MASKINI!
MMELIONGOZA JIMBO HILO KWA MIAKA 50 SASA JE MNAJIPYA LA KUTUFANYIA WATANZANIA WA MAKETE!

umaskini ni kwa Tanzania nzima,ebu tueleze kwa evidence ni jimbo gani ambalo halina maskini hata mmoja?,halaf kusema kabila la watu pia hapo umeteleza,kama ungekuwa great thinker ungeongelea tatizo la umaskin kwenye eneo na sio kutaja kabila manake nna iman hapo makete na makabila mengine pia yapo!,kwa kutaja kabila umeonyesha ni jinsi gan ulivyo na simple mind!
 
Labda ungejiuliza wewe kwa nini Wafanyabiashara wakubwa wenye asili ya kikinga hawapendi kuwekeza Makete?Na sasa hivi Tanzania ukiondoa wachaga katika biashara wanafuatia wakinga sehemu kubwa ya Tanzania wapo wafanyabiashara wakubwa wenye asili ya wakinga,wamejenga sana karoako,Mbeya ndiyo wamezajana,washauri wakawekeze Makete!Mapambelo vavene!!!
 
Kwa kuwa umeongelea kabila ngoja nikwambie uwape akili hao jamaa waambie badala ya kujenge magorofa kule kkoo na ubungo na sinza waambie Wa na kwao kwanza au masharti ya izo hela zao za kudonolewa maindi na kuku ndio yanakataa maendeleo?
 
Sijui kiwango cha umasikini unapima kwa kutumia nini. Naona kama unatumia hisia kuandika kuliko ukweli ulivyo. Mimi ni mzaliwa wa huko. sidhani kama umaskini wa watu wa makete ni wa kiwango ambacho ni tofauti na hali halisi ya sehemu nyingi za vijijini hapa Tanzania. Sifurahii level ya umaskini iliyopo, lakini mwandishi hujaonyesha weledi wa kutosha katika andishi lako zaidi ya hisia tu.Kuhusu irrigation unadhani landscape ya makete ilivyo kwa sehemu kubwa, irrigation schemes zinaweza zikawa practical???
 
Ukiachana na umaarufu wa CHUO CHA UALIMU TANDALA,HOSPITALI MAARUFU YA IKONDA labda labda na umaarufu wa mganga wa kienyeji dr.MWAKIPANDE na nyumbani kwa kina Deo Filikunjombe Wakinga wa MAKETE wapo taabani kwa umaskini ulio kidhiri,'KILA KITU WAO NI MWALIMI TU HATA KAMA UNAWADANGANYA,watu hawa wa makete ambao asilimia kubwa ni akina SANGA na MBILINYI hawajui cha kufanya ili umaskini angalau upungue kwao,Ukipita maeneo ya Masisiwe,Ikete,Maliwa,Sunji,LUPILA,Tandala,Lupalilo,Mago,Kasinga,Ndulamo,Iwawa,Idanganya,Makete Junction,Ivalalila ,BULONGWA na kwengineko MAKETE Unaweza ukadhani Watanzania Maskini ZAidi wanapatikana huku,Baada ya sekeseke la ukimwi kuwanyanyasa kwa muda mrefu sasa angalau Presure imepungua ila vijana wanapakimbia kabisa MAKETE hawapa taki kabisa kwasababu huwezi kuwa na hela na ukaishi MAKETE HALI NI MBAYA.
Arthi ya MAKETE inarutuba inayo kosekana sehemu kubwa hapa Duniani lakini Serekali ipo ipo tu,kule Mahindi,NGANO,SHAIRI,MTAMA,ALIZETI VIAZI,na mazao ya MIti yanakubali ile mbaya lakini mpaka leo tarehe 27/11/2013 MAKETE hawajapata Mbolea ya RUZUKU.Madini kila kona kule lakini WAKINGA ni maskini asikuambie mtu.HUku UKINGANI maji si ya tabu kabisa lakini kilimo cha umwagiliaji hakijafika huku kabisa ninahisi haya ni maajabu,Na watu wa huku wanakijua zaidi kilimo cha jembe la mkono katika karne hii ya 21.

MY TAKE:RAFIKI YANGU NAPE HEBU TUAMBIE KWANINI WAKINGA NI MASKINI!
MMELIONGOZA JIMBO HILO KWA MIAKA 50 SASA JE MNAJIPYA LA KUTUFANYIA WATANZANIA WA MAKETE!


Unajua wewe akili zako kama mbuni akizidiwa anaficha kichwa kwenye shimo akiamini kwamba hata mkia hauonekani, Hivi wewe ni mtanzania kweli? au ningependa kufahamu hata mahala unako toka. Hivi huko unako kaa wewe katika tanzania hii hakuna mafukara hohehahe kabisa? kwakuwa unakakaa kwenye nyumba ya bati ndio umesahau kwamba na wewe unahesabika ni masikini? Hakuna jamii ya watanzania isiyokuwa na mafukara kaka na ujinga ni sehemu ya watanzania asilimia 80 yaani hata wewe hujajitambua tu ila upo katika kundi hilo, kutokana na ulichokiandika.

anyway umewahisaidia masikini wakikinga wangapi? ushawahi kutana na ombaomba wa kikinga? umeenda kariakoo,sinza na maeneo ya biashara mbalimbali wewe?nani wanamiliki majengo makubwa kule kariakoo na biashara ndogo ndogo sio.

BRO KAMA HUJUI WAKINGA SIO KAMA UNAVYOFIKIRI, NI WATU AMBAO WANAJUA KUTUMIA PESA KWA MATUMIZI SAHIHI NA HATA ULIOWAONA HAWAKOSI HELA ILA NI WATU WANAOFIKIRIA KESHO ZAIDI NA SIO KAMA WEWE UKIPATA LAKI UNACHANGANYIKIWA NA UNAONA KWAMBA UMEPATAPESA NYINGI.

USITUSI KABILA LA WATU KWASABABU YA UJINGA WA WATANZANIA WOTE KAMA WEWE WASIO JITAMBUA.
 
Sijui kiwango cha umasikini unapima kwa kutumia nini. Naona kama unatumia hisia kuandika kuliko ukweli ulivyo. Mimi ni mzaliwa wa huko. sidhani kama umaskini wa watu wa makete ni wa kiwango ambacho ni tofauti na hali halisi ya sehemu nyingi za vijijini hapa Tanzania. Sifurahii level ya umaskini iliyopo, lakini mwandishi hujaonyesha weledi wa kutosha katika andishi lako zaidi ya hisia tu.Kuhusu irrigation unadhani landscape ya makete ilivyo kwa sehemu kubwa, irrigation schemes zinaweza zikawa practical???

Unajua uwelewa wa watu unatabu sana jamaa bado anapambana na adui ujinga kwa kuwa hajui ameandika kitugani, Hivi kafika kweli makete huyu? umwagiliaji wapi ufanyike na milima ile? harafu bado jembe la mkono lipo Tanzania nzima na africa kwaujumla. anajua ardhi ya makete inaunyevu kiasigani? anajua ni mm ngapi za mvua makete inapata? anapaswa kuzungumzia matatizo ya Tanzania na siokabila fulani tu.
 
Labda ungejiuliza wewe kwa nini Wafanyabiashara wakubwa wenye asili ya kikinga hawapendi kuwekeza Makete?Na sasa hivi Tanzania ukiondoa wachaga katika biashara wanafuatia wakinga sehemu kubwa ya Tanzania wapo wafanyabiashara wakubwa wenye asili ya wakinga,wamejenga sana karoako,Mbeya ndiyo wamezajana,washauri wakawekeze Makete!Mapambelo vavene!!!

Busness = Population\< High demand (thats why sio tu wakinga bali watanzania wengi wanawekeza dar).
 
Mbona umegeneralize tatizo? Umesahau wakinga hao hao ni matajiri wengi wana magorofa kariakoo? Sema ungesema kuwa waanze kujenga kwao kwanza kabla ya kujenga mjini.
 
MY TAKE:RAFIKI YANGU NAPE HEBU TUAMBIE KWANINI WAKINGA NI MASKINI!
MMELIONGOZA JIMBO HILO KWA MIAKA 50 SASA JE MNAJIPYA LA KUTUFANYIA WATANZANIA WA MAKETE!

Makete niliwahi fika kwa mambo binafsi ya kishirikina eneo la Isapulano na Ikuwo Ukwama.Matatizo ya Makete yako matano.

1.Ukosefu wa Elimu.Makete HAWAPENDI ELIMU.
2.Ulevi wa kupindukia.Wanakunywa pombe za kienyeji sijapata ona wawe wanawake au wanaume.Mikoa mingine wanawake hunywa kwa breki makete kunatisha kwa ulevi.
3.UKIMWI: Umeacha wengi wagonjwa,yatima na maskini wa kutuma
4.Ushirikina ni mkubwa mno.Kwa ushirikina nafikiri kwa tanzania wanashika nafasi ya pili baada ya Wilaya ya Handeni.
5.Wakinga wenye uwezo hawapendi kujenga na kuwekeza makete
 
Huwezi amini ushirikina kama wewe siyo mshirikina. Great thinker una-conclude kiwango cha ushirikina wa kabila kwa kulinganisha makabila kutoka wilaya mbili tu???. Makete vs Handeni. you must be joking!!!!.
 
Huwezi amini ushirikina kama wewe siyo mshirikina. Great thinker una-conclude kiwango cha ushirikina wa kabila kwa kulinganisha makabila kutoka wilaya mbili tu???. Makete vs Handeni. you must be joking!!!!.

Usipate shida mi ni mshirikina tena aliyebobea.

Nimetaja kuwa nimelinganisha hizo wilaya mbili kwa kuwa wilaya zingine ukienda unakuta kuna baadhi ya vijiji ndio vinatajwa kuwa ni vinara kwenye ushirikina kwenye wilaya husika au watu wa eneo fulani ni washirikina sana hata wao wanajuana.

Wilaya ya Makete na handeni ziko juu sababu si eneo fulani bali ni wilaya karibu zote nzima zina wapenda ushirikina wawe ndani ya wilaya hizo au nje.Ndio maana nime-waweka juu lakini hii ni assumption yangu uko huru ku-challenge maana washirikina wanazaliwa na kuongezeka kila siku,kila kijiji kila wilaya yawezekana siko current sana .UKO HURU KUSHUSHA NA WEWE DATA ZAKO.

Kuhusu great thinkers ni kuwa wanapatikana kwenye fani na sekta zote ikiwemo ya ushirikina.Ukinitoa kuwa sitakiwi kuwemo utakuwa unaninyanyapaa.
 
mimi natoa ushauri tu. Muache kuua ndugu zenu kisa utajiri. Tumechoka kuzika migomba.
 
Lakini nadhani hao washirikina watakuwa hawaingii JF isipokuwa wewe tu East African Eagle.... just joking
 
Back
Top Bottom