MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Baada ya aliye kuwa mbunge wa Igunga, bwana Rostam Aziz kujiuzulu nafasi hiyo je ni wagombea wapi ambao wanaweza kupitishwa na vyama vyao kugombea huko? Tetesi nilizo sikia ni kwamba RA atamsupport Bashe kuziba nafasi yake japo hilo halina uhakika.
Ushauri wangu kwa wapinzani ni waanza kujiandaa mapema kuandaa wagombea kwa maana nina uhakika CCM tayari walisha jiandaa na hili kabla hata taarifa hazi jawa rasmi.
Je kwa mawazo yenu ni wakina nani wasimamishwe Igunga na vyama mbali mbali?
Ushauri wangu kwa wapinzani ni waanza kujiandaa mapema kuandaa wagombea kwa maana nina uhakika CCM tayari walisha jiandaa na hili kabla hata taarifa hazi jawa rasmi.
Je kwa mawazo yenu ni wakina nani wasimamishwe Igunga na vyama mbali mbali?