kandamatope
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 589
- 629
Hata mashabiki uwa wanafanyaga fujo taifa,wanavunja mageti faini inapigwa club sio mashabiki,,
Unaweza ukawa shabiki wa ACT ,CDM,CUF ,CCM
lakini usiwe na kadi ya chama na bado ukawa na mihemko kuliko wanachama wenyewe
haijarishi wewe ni mwanachama au shabiki ili mradi ulichoma nembo ya chama kingine na hiko chama kilikaa kimya kana kwamba wanafurahia kitendo hicho
Sheria inachukua mkondo wake,kama wewe ndio uliowatuma kuchoma hizo nembo full stop..
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukawa shabiki wa ACT ,CDM,CUF ,CCM
lakini usiwe na kadi ya chama na bado ukawa na mihemko kuliko wanachama wenyewe
haijarishi wewe ni mwanachama au shabiki ili mradi ulichoma nembo ya chama kingine na hiko chama kilikaa kimya kana kwamba wanafurahia kitendo hicho
Sheria inachukua mkondo wake,kama wewe ndio uliowatuma kuchoma hizo nembo full stop..
Sent using Jamii Forums mobile app