kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,171
Wakati wanazichoma moto bendera za CUF walikuwa na Kadi za chama gani? Walikuwa wanachama wa CUF au ACT Wazalendo?
Wakati wanachoma moto bendera za CUF walikuwa wameshapokelewa rasmi kuwa wanachama wa ACT au walikuwa wanadhamilia kujiunga na ACT?
Mwenye majibu atujuze.
Wakati wanachoma moto bendera za CUF walikuwa wameshapokelewa rasmi kuwa wanachama wa ACT au walikuwa wanadhamilia kujiunga na ACT?
Mwenye majibu atujuze.
