East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,209
Je wakimbizi wa sasa wanaokimbilia Rwanda na Tanzania ni wa kabila moja na chama kimoja tu? Angalia video hii ya wakimbizi wa burundi.
Last edited by a moderator:
watutsi wanakimbilia Rwanda, wahutu wanakimbilia Tanzania.
Kuna binadamu wengine unaweza kuhisi labda sio binadamu ....Mmnnnhhhh kuna swali moja liliulizwa kwenye hearing ya congress limenifanya niwe na shaka...mama mmoja aliuliza kama ni kweli aliyejaribu kupindua Burundi alikuwa trained Rwanda..sijui training kama ya Arusha au ya aina gani...afu aliyeuliza alipoona walioulizwa wameshtuka akayeyusha na maswali mengine...aliuliza wazi kabisa kama kuna link kati ya Rwanda na jaribio la Burundi lililofeli.
Mmnnnhhhh kuna swali moja liliulizwa kwenye hearing ya congress limenifanya niwe na shaka...mama mmoja aliuliza kama ni kweli aliyejaribu kupindua Burundi alikuwa trained Rwanda..sijui training kama ya Arusha au ya aina gani...afu aliyeuliza alipoona walioulizwa wameshtuka akayeyusha na maswali mengine...aliuliza wazi kabisa kama kuna link kati ya Rwanda na jaribio la Burundi lililofeli.

kumbe? interesting... haya basi tujuze inakuwaje hivyo? huku kwenu tumewapokea wote bila kujali makabila yao... hao waliokupa hifadhi wanataka wahutu tu? kweli hiyo nchi wahuni wameiharibu! nasikia hata warundi wa opposition waliokuja kuhudhulia mkutano wa kutatua matatizo yao ya Burundi mmewatia mbaroni... mnanikumbusha mzee Malecela aliyefunga wanyarwanda kipindi kileeewatutsi wanakimbilia Rwanda, wahutu wanakimbilia Tanzania.