kwamwewe
JF-Expert Member
- Jul 15, 2010
- 1,800
- 541
Rais wa Zanzibar amependelewa Sana kupewa mamlaka makubwa kiasi hicho Kwanza Ka Zanzibar hakapaswi kuwapo, kanaleta Fyoko Fyoko mno
Ndiyo maneno ya kanisa Katoliki haya
Rais wa Zanzibar amependelewa Sana kupewa mamlaka makubwa kiasi hicho Kwanza Ka Zanzibar hakapaswi kuwapo, kanaleta Fyoko Fyoko mno
Simplicity is the sense of Intelligence,its a matter of reading between the lines.Hivi una uhakika zikipigwa kura za eidha kuuvunja ama kuuacha, wabara watachagua kuuacha na wazenj watachagua kuuvunja? Usiwasemee wenzako, posibo wewe ni sehemu ndogo sana ya wazanzibar. Mambo ya kisheria ni magumu sana, hata hilo lazima serikali ya shirikisho, hatua za kuifikia ni hatarishi kwa muungano huu.
Neno.Hatupendi ukweli, ila ukweli ni kuwa Zanzibar ilipaswa kuwa Mkoa kama ilivyo Iringa au Mbeya.
Tungekuwa na nchi nzuri sana.
Ni kweli...jinsi anavyoongea ni kama anafundisha....papala nyingi sana ili usomi wake uonekane...kuna vitu vya kutumia hekima na akili tu...ili kuepusha shari na maisha yaende..alikosa hekima nzuri ya kupresent hoja yake...Kabudi huwa anajisikia sana!! Ana arrogance ya usomi ambayo namuonaga kama mtu wa hovyo hovyo!! Kuna vitu huna haja ya kuvielezea kwa kujitapa ili mkubwa akupende kwani huwa vinazaa mambo mengine amabayo huwa yanaleta taharuki!!!
Hii kuwachukua watu vyuoni na kuja kuwapa madaraka ya kiutendaji ina madhara sana!! Yeye alifikiria anafanya lecture ya constitutional law kumbe anaongea na watanzania wote. Bungeni sio darasani kabudi jiongeze!!!
Dah! Kwahiyo mtakwenda kuwauwa?
Technical ni mkoa tu,Ila theoretical ni nchi lakini siku za usoni naiona zanzibar kama nchi inayojitegemea/inayojitawala yenyewe na kuamua mambo yake.Hatupendi ukweli, ila ukweli ni kuwa Zanzibar ilipaswa kuwa Mkoa kama ilivyo Iringa au Mbeya.
Tungekuwa na nchi nzuri sana.
Kiuhalisia huyo rais wa zanzibar hana tofauti na wakuu wa mikoaMwisho wa siku alichosema ni kweli?
Ndugu wakati wote mtu anaejua anachokisema huonekana kama mwenye maringo na kujisikia kwa wababaishaji.
Ndoa yoyote ile lazima wote mkubali kupoteza 50% ya uhuru wenu otherwise hakuna ndoa hapo lzm mmoja ajifanye mjinga.
Tanganyika pia imepoteza mengi sana kwenye huu muungano lkn hatulalamiki, Zanzibar chokochoko hizi za kudai yale machache tu waliyopoteza inaletwa na wasioutaka muungano.
Na wanajua ili Zanzibar iyapate yote ya kwake ni muungano usiwepo ndio sasa rais wa Zanzibar akiwa na hadhi sawa na rais wa muungano kuna muungano tena hapo? Wanasahau makamu pia anaiwakilisha Zanzibar wakati sisi hatuna anaetuwakilisha uko kwao.
Unga wa ndwele
Technical ni mkoa tu,Ila theoretical ni nchi lakini siku za usoni naiona zanzibar kama nchi inayojitegemea/inayojitawala yenyewe na kuamua mambo yake.
Muda ni kila kitu
Alichokifanya Nyerere 1964 kwa zanzibar hakina tofauti na alichotaka kufanya Idd Amin pale Kagera 1978 tofauti ni methodogies tu
Kweli Mkuu si ndo maana chama chetu kinapenda demokrasia ya JUBILEE kule Kenya.
Sawa Mkuu,lakini hayo ni maoni yako binafsi sio ya wengine..haiwezi na haitakuja kutokea kuwa nchi kamili
Nyerere atafufuka siku hiyo
believe me, haiji kutokea
Hahaaa....si ni hicho tuu na sio anachosema....Anachoniudhi kabudi Ile kutoa Sana macho wakati anaongea,sijui mgonjwa au haoni
Hata najua mzee baba?!Hivi kwa nini tunaung'ang'ania?