Kama umenielewa hutapata tabu kuona kuwa huyo wakili anachokifanya sio sahihi, kinachoonekana ni vitisho na kuingilia michakato ya Taasisi za Taifa huru,
Huwezi mwambia mkuu wa Taasisi flani kuwa usipofanya hivi kwa mteja wangu nitahakikisha unapelekwa ICC au kuwekewa vikwazo.
Kila mchakato unataratibu zake za kuukabili na taratibu hizo hazifanani, Pili barua zake hazina madhara kisheria kwa hapa nyumbani kwani hana kibali cha kufanya shughuli za uwakili ni za kupuuzwa tu, tatu kesi za Uchaguzi huwa hazipelekwi ICC, kule zinakwenda kesi za jinai zinazohusiana na mauaji ya kimbari, maswala ya uchaguzi yanashughulikiwa na mifumo iliyowekwa ndani ya nchi husika.
Kuhusiana na maswala ya vikwazo lazima kuwe na maazimio ya nchi wanachama wa jumuiya za kimataifa ukiachana na vile vikwazo vya nchi moja moja. I.e US ama EU kwa Sasa dunia haiendeshwi na tena na kauli za Taifa moja maendeleo yametapakaa kona ya dunia hivyo ukikosa hapa unapata kule, hakuna tena monopoly katika upatikanaji wa vitu, hivyo mikwara haifui Sana dafu .
Tanzania tumekuwa na chaguzi za amani na hakujawahi tokea matukio ya kupelekea mtu kuhitajika ICC au kuwepo vikwazo vya kimataifa, hatuna historia hiyo wala kwa Sasa hakuna viashiria vya hayo kutokea, amani imetawala na uchaguzi utapita JPM na Mwinyi wakikamata usukani na sisi tukiendelea kulijenga taifa letu pendwa Tanzania.
Hii ni nchi huru watuache! Nasema tena watuacheMy advice!!
It’s too late, you had a chance to advice magufuli to respect human rights and democracy but you didn’t!! Now just wait and enjoy the show
A lot is coming[emoji116]
View attachment 1590104
Kama ni nchi huru heshimu sheria za kimataifa ulizosaini na acha kubambikia watu makesi na kuua wapinzani wako!!Hii ni nchi huru watuache! Nasema tena watuache
Mikwara tu hakuna lolote watanzania tunaamuaa wenyeweee mambo yetu!!My advice!!
It’s too late, you had a chance to advice magufuli to respect human rights and democracy but you didn’t!! Now just wait and enjoy the show
A lot is coming[emoji116]
View attachment 1590104
Wwe siyo Mtanzania halisi,maana sisi Watanzania halisi hatuna muda wakulazimisha watu watujuwe kua sisi ni Watanzania halisi Kama unavyofanya wwe!!Mimi ni mtanzania halis, kwa ujinga unaofanywa na tume ya taifa ya uchaguzi wakishirikiana na jeshi La polis, vurugu tunazikaribisha wenyewe.Kwa mtazamo wangu wale wajumbe wa tume sio wazalendo kwa taifa letu.
Kama kwa maslahi mapana jpm ndo hafai kabisa, ni mbaguzi mkuuubwaLissu hatufai kwa maslahi mapana ya taifa letu, tumkatae kwa nguvu zote
Pumbuani...low level of exposure wabongo wengi wanayo...poleni ni yeye2020Baada ya taarifa za kuwepo kwa Tweet yenye barua ya wazi toka kwa raia wa Canada Bw. Robert Amsterdam, nimelazimika kujielemisha ili kujua huyu mtu ni nani, thanks to Google search. Niliyosoma kuhusu huyu mtu yamenishitua.
Kwa kifupi imeelezwa kwamba Bw Amsterdam ni wakili wa kimataifa anayejihusisha na kesi za kisiasa, mikataba ya madini, haki za binadamu, uakilishi wa kisheria wa makubwa duniani, n.k.
Kati ya kesi maarufu alizowahi kuzisimamia wakili Amsterdam ni zile zilizo wahusisha tajiri Mikhail Khodorkovsky wa Urusi na bilionea Thaksin Shinawatra wa Thailand. Wote hawa walishitakiwa nchini mwao kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuonyesha nia ya kupindua serikali za nchi zao. Ni wazi kwamba Rais Putin wa Urusi hakuchelewa kumsweka ndani tajiri huyo wa mafuta.
Kwenye kichwa cha habari "A lesson in Intellectual dishonesty and International meddling" mwandishi wa habari Tony Cartalucci anaelezea Wakili Robert Amsterdam kama mtetezi wa majambazi (convicted criminals) hida ya serikali kwa kutumia agenda za Uhuru wa kisiasa.
Wakili Amsterdam pia ameshiriki kwenye kesi za mikataba ya madini katika nchi za kiafrika. Kama raia wa Canada sitashangaa nikisikia kwamba pia alihusika kusimamia makampuni kama Acasia kwenye kesi mbali mbali za kuishitaki Tanzania kwenye mahakama za kimaifa.
Huyu ndiye mtu ambaye Tindu Lissu amemkodisha kusimamia kwenye shughuli zake za kisiasa. Swali linakuja akilini ni kwamba Bwana Lissu amempa ahadi gani ikiwa atakupa Rais?
Huyu mtu anahesabu za political goes gani kwa Tanzania kama ilivyokuwa huko kwenye mataifa mengine? Hakuna chembe ya ukweli kwamba mkataba wa Bw Lissu na Amsterdam unahusu kutuma ya kisiasa.
Andiko la mwandishi Tony kuhusu Intellectual dishonesty and International meddling linatoa picha kamili ya huyu mtu. Hapo ndipo Mh. Lissu ametufikisha kama nchi.
Nadhani kuna ukweli kwamba anatumwa na wakubwa.
Haahaa whatever, ila tambua hilo, kwa ujinga wa pale tume tunajiangamiza wenyewe.Tume inaengua wagombea wa upande mmoja kwa sababu za kijinga kabisa, wakati mwingine nawaza huenda tume wana nia mbaya na taifa letuWwe siyo Mtanzania halisi,maana sisi Watanzania halisi hatuna muda wakulazimisha watu watujuwe kua sisi ni Watanzania halisi Kama unavyofanya wwe!!
Nadhani kikichoa dikwa hapo hujakielewaMy advice!!
It’s too late, you had a chance to advice magufuli to respect human rights and democracy but you didn’t!! Now just wait and enjoy the show
A lot is coming[emoji116]
View attachment 1590104
Safari hii kakutana na Raisi Chuma kwelikweli, Amsterdam anazidi kua Mwekundu tu!!Amsterdam anatafuta biashara tu. . . .akuze profile yake. His intensions are purely on business