Wakili Madeleka: Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma ikague Mali za watendaji wa serikali wanapoingia na kutoka kwenye ofisi ya umma

Wakili Madeleka: Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma ikague Mali za watendaji wa serikali wanapoingia na kutoka kwenye ofisi ya umma

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Wakili Peter Madeleka ambaye pia ni Mgombea Ubunge Jimbo la Kivule kupitia chama cha ACT Wazalendo leo Septemba 25, 2025 akizungumza na waandishi wa habari ameelezea kisa cha kesi ya Johanna Chifunda namna ambavyo Mahakama imeshindwa kutoa haki na Jaji Hemedi kutozingatia uendeshwaji wa kesi hiyo ipasavyo kwa mujibu wa sheria inayosimamia muenendo wa uendeshwaji mashauri ya madai nchini sura 33

Kupitia kesi hiyo Wakili peter Madeleka ameitaka Tume ya Maadili ya Viongozi wa umma kuwa na utaratibu wa kukagua majaji, mahakimu na viongozi wengine wa serikali wanapoingia kwenye ofisi ya umma wana mali gani na wanapotoka vilevile ili kuepuka unyongwaji wa haki

 
Hilo halitowezekana mkuu lbd reform zitokeee
 
Back
Top Bottom