GE2025 Wakili Madeleka: Katiba inapiga marufuku Kupinga au kuhoji Matokeo ya Uchaguzi yanayotolewa na Tume

GE2025 Wakili Madeleka: Katiba inapiga marufuku Kupinga au kuhoji Matokeo ya Uchaguzi yanayotolewa na Tume

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Akizungumza akizungumza katika Mdahalo wa "Jicho la Wanasheria Uchaguzi Mkuu 2025" kipindi cha Star TV ameelezea mchakato wa uchaguzi na Matokeo ya uchaguzi ambapo Ibara ya 74 ibara ndogo ya 12 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapiga Marufuku kupinga au kuhoji Maamuzi au Matokeo ya uchaguzi yanayotolewa na Tume huru ya uchaguzi

 
Katiba hiyo hiyo inayosema kila mtu ana haki ya kusikilizwa na kuheshimiwa, sasa hiyo ni katiba au takataka.?
 
Huyu jamaa nilikua namheshimu lakn tokea ajizime data nimeshamuweka kwenye list ya watu wa hovyo
 
Back
Top Bottom