Wakili Kimomogoro amuelimisha Nape

Wakili Kimomogoro amuelimisha Nape

acheni kumwonea Nape hoja ya kuwa Dr Slaa anamiliki kadi ya Ccm ipo hapa jamvini tangu mwezi wa tisa na mwazilushi wa hii hoja ni mimi Makupa

Kwa nini Nape akaiteka nyara na wewe hujadai fidia?
 
Wakili na yeye hamna kitu naye ni mjinga na ujinga unatofautiana,hebu tofautisha sheria na siasa.Anachosema Nape ile ni SIASA haiwezekani yeye Dr. apokee kadi za wengine wanaotoka CCM na hata hawaambii kwamba hizo ni mali zao hivyo wasirudishe sasa cha kushangaza mbona hawaambii.Huu nao ni upuuzi wa mwanasheria huyu anashindwa kutofautisha Siasa na Sheria.Tungekubali hoja yake endapo kama ipo kauli ya Dr. Slaa ya kuwaeleza wanaorudisha kadi za CCM waendelee kukaa nazo kwa vile ni mali yao.Huku ni kujidhalilisha kwa mwanataaluma.Anachofanya Nape ni kupiga Siasa ambapo kikawaida mtu anayehama chama anarusha kadi ukisema walikokufa warudishe sasa ye aliona wapi maiti inarudi?Hao waliokufa wamekufa wakiwa na itikadi hiyo tofauti na Dr.
 
acheni kumwonea nape hoja ya kuwa dr slaa anamiliki kadi ya ccm ipo hapa jamvini tangu mwezi wa tisa na mwazilushi wa hii hoja ni mimi makupa

aisee! We noumer, yaani kumbe unaona nape anafaidi sana kusutwa humu ndani mpaka umetaka yahamie kwako? Very funny, du- haya bandugu, mjinga na mpuuzi si nape ni makupa
 
Wakili naye hamna kitu naye ni mjinga na ujinga unazidiana atofautishe sheria na siasa anachosema Nape ile ni SIASA haiwezekani yeye Dr.Slaa apokee kadi za wengine wanaotoka CCM na hata hawaambii kwamba hizo ni mali zao hivyo wasirudishe sasa cha kushangaza mbona hawaambii.Huu nao ni upuuzi wa mwanasheria huyu anashindwa kutofautisha Siasa na Sheria.Tungekubali hoja yake endapo kama ipo kauli ya Dr. Slaa ya kuwaeleza wanaorudisha kadi za CCM waendelee kukaa nazo kwa vile ni mali yao.Huku ni kujidhalilisha kwa mwanataaluma.Anachofanya Nape ni kupiga Siasa ambapo kikawaida mtu anayehama chama anarusha kadi ukisema walikokufa warudishe sasa ye aliona wapi maiti inarudi?hao wamekufa wakiwa na itikadi hiyo wamekufa nayo tofauti na Dr.
 
Nape hana hoja za kijinga tu bali za kipumbavuuu. Mbona yeye ana kadi ya chama chake cha jamii na hakuna anayemgusa? Kweli nyani haoni kundule na wanaomuunga mkono nadhani ni wale wale wenye mawazo mgando kama yeye.

kimogoro viti maalum ni kwaajili ya wanawake na si wanaume labda kama unadadayako watakufikiri wahisha maombi slaa au baba koli
 
Mtu kazaliwa mjinga; kalelewa kijinga, kakulia ujingani basi shurti afike mahali adhihirishe ujinga wake hadharani ili umma umtambue bayana kwamba ni mjinga.

Asante Kimo; najua fika Vuvuzela ataibua malumbano na wewe, nakusihi usimjibu, kwani kichaa akikukuta mtoni unaoga akakimbia na nguo zako kama utatimua mbio uchi kumfuata mashuhuda wana kila sababu kukuita wewe kichaa sio yule halisi. achana na vuvuzela lao, kichwa kidogo, kisomo kidogo na akili ndogo.
 
acheni kumwonea Nape hoja ya kuwa Dr Slaa anamiliki kadi ya Ccm ipo hapa jamvini tangu mwezi wa tisa na mwazilushi wa hii hoja ni mimi Makupa

Who is more foolish, a child afraid of the dark or the man afraid of the light?
 
Ni kweli Makupa, huyu wakili anatakiwa akutafute wewe uliofichua hii kitu sio Nape...huyu wakili ndio mjinga anataka kupingana na ukweli.
Ritz nikisoma post zako huwa nacheka sana. Maanake wewe huwa unadhani watu ni wajinga mno! Hivi unadhani hatuwezi kufikiri? Tumesoma na tukaelimika!
hata kama dr analipia mchango kila kukicha huko CCM haina tabu manaake huko ndo anapata list ya mafisadi anaisoma mwembeyanga! Anaibua maswala ya Richmond!Dowans, EPA n.k
Hao akina Nape badala ya kujibu habari za meremeta, Kagodo, Twiga wanaoenda Qatar, Mabilioni ya uswisi, wizi wa Tanesco, Mtandao wa majizi bandarini, Ukosefu wa ajira kwa vijana, kupaa kwa gharama za maisha, na Kipato duni cha Mtanzania we support him!
Mbona akina Mwakyembe, Kina filikunjombe wako CCM lakini we support them!? Iweje Nape asizungumzie matatizo ya Watz hayo hapo juu na mengine kibao yeye ajadili kadi za dr Slaa na mchango wake,
Katika thred zako zote sijawahi kuona umekuwa optimistic katika matatizo ya watz wewe ni kutetea tu hata ujinja
 
Nadhani nepi, aah sory! NAPE anataka tuwe tunaita waandishi wa habari na kuzichoma moto mbele ya kamera, maana hukukitaa zipo nyingi sana tumehifadhi kuwaheshimu wao waleta jeuri! nape Vs SLAA + H2O= mkate Vs JIWE !
 
acheni ushabiki slaa kakosea na ni shushu wa siku nyingi kama mrema na marando. lini mliandamana kupinga matokeo ya urais na ubunge?
 
Ukiona watu wanahangaika na mambo madogo madogo wanaacha makubwa ujue wana tatizo kubwa zaidi ya ujinga. Nape hayupo sawasawa kichwani. Kwa cheo alicho nacho ndani ya chama tawala hakustahili hata kufikiria kuongelea hoja za kipumbavu kiasi hicho achilia mbali kwenda kusimama mbele ya watu na kuzitamka. Unapokuwa na watu wa mawazo na reasoning kama hii ya Nape halafu ndiyo watu waliokabidhiwa kuongoza nchi inakatisha tamaa kabisa.

Mimi nina kadi mbili za CCM, zote nilipewa wakati nikitumikia JKT, bila ya hiari yangu. Kule jeshini walikuwa wanakata hela yako ya posho kisha wanakupa kadi ya CCM. Walikata pesa yangu nikiwa JKT Masange, nilipoenda Buhemba wakakata hela yangu tena kwa mara ya pili. Wakati nikiwa nimepewa kule Buhemba nikaletewa na nyingine kutoka Masange. Kwa sababu kwangu makaratasi hayo hayakuwa chochote zaidi ya kuwa njia ya kuiba hela yangu, sikuwa kulipia hata mwaka mmoja. Ninayo kama kumbukumbu ya udhalimu. Je, CCM mnaniona kuwa ni mwanachama wenu kwa sababu ya yale magamba niliyopewa?

Hoja za kipambavu hazijibiwi labda tu kama unataka kunihabarisha kuwa Slaa naye ni mpumbavu kwa kujikita kwenye hoja za kipambavu
 
Hoja za kipambavu hazijibiwi labda tu kama unataka kunihabarisha kuwa Slaa naye ni mpumbavu kwa kujikita kwenye hoja za kipambavu
Hata wewe Unayepoteza muda wako Kujadili upumbavu huu ni mpumbavu kama mimi Ninayekujibu.

Nape ameongea upumbavu Unaotufanya wote tuonekane wapumbavu.
 
Nimeona kuna topic fulani hivi ilikuwa kwa ajili ya
Nape ikafutwa haraka sana. Ile ndio dawa ya
wenye midomo mipana. Nape if you live in glass
houses dont throw stones. Bado zitakuja mada
nyingi sana na binafsi kumhusu maana bado anaishi nyumba za vioo vitupu
 
Back
Top Bottom