- Thread starter
- #21
Fuqua kuku weweNarudia swali langu, TUFUKUE MAKABURI YAKO ILI UPATE MAJIBU YA SWALI LA KWANINI ULILONIULIZA????
Fuqua kuku weweNarudia swali langu, TUFUKUE MAKABURI YAKO ILI UPATE MAJIBU YA SWALI LA KWANINI ULILONIULIZA????
Fuqua kuku weweNarudia swali langu, TUFUKUE MAKABURI YAKO ILI UPATE MAJIBU YA SWALI LA KWANINI ULILONIULIZA????
Sawa mfuga kuku, nitakurundikia makaburi yako mfululizo kuanzania kesho au keshokutwa. Nawaomba na wengine wanisaidie kuyakufukua makaburi yako tena mengine bado mapwa mfuga kuku wewe...!!Fuqua kuku wewe
Utakuta maiti inanukia harufu nzuri harufu ya peponiSawa mfuga kuku, nitakurundikia makaburi yako mfululizo kuanzania kesho au keshokutwa. Nawaomba na wengine wanisaidie kuyakufukua makaburi yako tena mengine bado mapwa mfuga kuku wewe...!!
Hio siasa.
Mtume Muhamamadi asingekubali kabisa Shahidi wa kujificha.Mtume (S.A.W) alisema:
(Hadithi sahihi - Bukhari na Muslim)
🔑 Maana yake:
Si sahihi kutumia hoja za ujanja, udanganyifu, au ufasaha wa maneno kumkandamiza au kumnyang’anya haki mtu mwingine.
Mwanasheria au mtetezi wa kesi anapaswa aseme ukweli na kusimama kwa haki, si kutumia uhodari wake kuhalalisha dhulma.
Mafunzo ya Kiislamu kwa Wakili au Mtetezi
1 Aseme ukweli hata kama ni mchungu.
2. Asitumie hoja za hila kuhalalisha batili.
3. Awe na nia ya kutetea haki, si kushinda kesi kwa gharama ya kumdhulumu mwingine.
HUU NDIO UISLAM
Sio kila anayejiita muislam (na/au kuvaa burqa 24/7) ni muislam. Wengine ni Muslims in name only!Mtume (S.A.W) alisema:
(Hadithi sahihi - Bukhari na Muslim)
🔑 Maana yake:
Si sahihi kutumia hoja za ujanja, udanganyifu, au ufasaha wa maneno kumkandamiza au kumnyang’anya haki mtu mwingine.
Mwanasheria au mtetezi wa kesi anapaswa aseme ukweli na kusimama kwa haki, si kutumia uhodari wake kuhalalisha dhulma.
Mafunzo ya Kiislamu kwa Wakili au Mtetezi
1 Aseme ukweli hata kama ni mchungu.
2. Asitumie hoja za hila kuhalalisha batili.
3. Awe na nia ya kutetea haki, si kushinda kesi kwa gharama ya kumdhulumu mwingine.
HUU NDIO UISLAM