saidi kindole
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 311
- 796
Ukiangalia sana kesi hii inayowakabili akina lipumba na msajili wa vyama ambao wameshitakiwa na wadhamini wa CUF ni kama vile mapambano kati ya CHADEMA na ACT.
Ebu angalia mawakili wanaowatetea lipumba na wenzake ni Albert Msando kwa upande mmoja na mawakili wanaowatetea CUF ya Maalim Seif yumo Kibatala, na Tundu Lissu kati ya mawakili watano waliofika mahakamani leo.
Hii inaonyesha wazi vyama hivi viwili viko nyuma ya mgogoro huu wa chama cha CUF.
Ebu angalia mawakili wanaowatetea lipumba na wenzake ni Albert Msando kwa upande mmoja na mawakili wanaowatetea CUF ya Maalim Seif yumo Kibatala, na Tundu Lissu kati ya mawakili watano waliofika mahakamani leo.
Hii inaonyesha wazi vyama hivi viwili viko nyuma ya mgogoro huu wa chama cha CUF.