Makala Jr
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,395
- 1,111
Kila mtu ana swali lake kuhusu sakata la Mhe.Zitto kusaini kiapo cha kukiri kutokuwa na majina ya Watanzania walioficha fedha haramu nchini Uswisi.
Hakika Mhe.Zitto Kabwe amejidhalilisha/amedhalilishwa sana na sakata hili kwa kuonekana mzushi, mwongo, na mnafiki asiye na woga wa kuwadanganya Watanzania.
Kwa vyovyote vile, Zitto alishurutishwa kusaini kiapo hicho kwa mujibu wa AG;sheria ilichukuwa mkondo wake kupitia sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai.
Inawezekana Mhe.Zitto anajua kitu kuhusu mabilioni ya Uswisi (na sisi wananchi baadhi yetu tunajua kwani vijisenti vya Chenge hatukuvisikia?).
Lakini kinachotia doa harakati za kuwasaka wahusika kwani katika sheria za utandawazi ukweli huwa kando kwanza bali ushahidi (alioukana Zitto) hupewa kipaumbele.
Kama Zitto alisaini ili kutunza siri (EVASION), je alimshirikisha wakili wake Albert Msando? Ikawaje Zitto aligusia suala hilo hali anajua alisaini?
Hakika Mhe.Zitto Kabwe amejidhalilisha/amedhalilishwa sana na sakata hili kwa kuonekana mzushi, mwongo, na mnafiki asiye na woga wa kuwadanganya Watanzania.
Kwa vyovyote vile, Zitto alishurutishwa kusaini kiapo hicho kwa mujibu wa AG;sheria ilichukuwa mkondo wake kupitia sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai.
Inawezekana Mhe.Zitto anajua kitu kuhusu mabilioni ya Uswisi (na sisi wananchi baadhi yetu tunajua kwani vijisenti vya Chenge hatukuvisikia?).
Lakini kinachotia doa harakati za kuwasaka wahusika kwani katika sheria za utandawazi ukweli huwa kando kwanza bali ushahidi (alioukana Zitto) hupewa kipaumbele.
Kama Zitto alisaini ili kutunza siri (EVASION), je alimshirikisha wakili wake Albert Msando? Ikawaje Zitto aligusia suala hilo hali anajua alisaini?