Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
ikumbukwe kua Albert msando ni DIWANI kupitia CCM malizieni wenyewe nani kashikwa kubaya
[h=2][/h]
Mh!b CCM ? Hapana ni CHADEMA na amekuwa wakili wa kina Mbowe, Lema, Mtei na wengine, Kifupi kesi zote za CHADEMa Arusha amekuwa akizishughulikia huyu Jamaa.