Wakili Mediam Mwale adaiwa kukutwa na TZS 18 bilioni haramu

Naomba kujuwa wakili Mwale . Anakabiliwa na Kesi gani iliyomfanya kukaa mahabusu miaka 7 mpaka sahiv.
 
Nilisikia alikuwa anafua pesa hadi zinatakata..so kosa la kutskatisha ndilo linalomkabili...sina uhakika sana wajuvi waje
 
Ngoja wajuvi wa mambo waje. Ila kiukweli siku hizi mikoa ya Arusha na Moshi ujambazi umepungua sana,sana tu. Na huyu ndo alikuwa wakili mkubwa wa wajanja wa mikoa hii. Nahisi ipo namna wamemtengenezea zengwe yeye pamoja na network yake.
 
Kesi ya Kutakatisha Fedha, Na Hayupo Mahabusu, Yupo Kisongo Gerezani, Nenda Utamkuta
 
Nyaga si alikufa kifo cha kutatanisha vile? Na alizikwa wap vile? Kuua nini ile?
 
Wanasheria wengi wao esp Huko Arusha nadhani hiizi deal za viwanja wana husika sana, TAKUKURU iwachunguze na Halimashauri za Miji zitupe details za ukweli wakina nani wana Hold maeneo makubwa na esp kwa Wanasheria Tu ndio Mtajua wanasheria wetu kwa kiasi gani wanatuhujumu nchi yetu.


Hizi deal huwa zina mikono mirefu behind them
 
Back
Top Bottom