Hakeem makamba
Senior Member
- Apr 15, 2011
- 123
- 41
Lahaula
we dada hiyo avatar yako ni nzuri sanaaaMh ndo kwanza nakuckia ww
Ficha upumbavu wako.lema alikuwa anamtetea sana, sijui ni ule msemo wa waswahili wa pemba hujuana kwa vilemba..
Wanasheria wengi wao esp Huko Arusha nadhani hiizi deal za viwanja wana husika sana, TAKUKURU iwachunguze na Halimashauri za Miji zitupe details za ukweli wakina nani wana Hold maeneo makubwa na esp kwa Wanasheria Tu ndio Mtajua wanasheria wetu kwa kiasi gani wanatuhujumu nchi yetu.