Wakenya wasepa na sneakers za Desiigner

Wakenya wasepa na sneakers za Desiigner

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,131
Rapper kutoka pande za states mwenye hitsong ya 'Panda' hakuamini kilichomtokea juzi kwenye stage wakati anapiga show baada ya 'makonki' wa Kenya kusepa na raba zake na soksi nakumuacha mchizi akiwa amefura kwa hasira. Shkamoo wakenya....
 
Wakaruka hadi na soksi...
CYMERA_20181210_124452.jpeg
 
Kawaida tu hyo kutokea wakati wa shows

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom