Wenyewe watakuambia ndio mabingwa wa kiswahili..
Hawa jamaa ni magwiji wa ulaghai na wamejaaliwa nyama ya ulimi.
Wamewapiga magiri wazungu na kuwasadikisha kuwa wanakiweza haswa ..
Wamekuwa wakitamba kwenye vyuo vikuu vya nje kwa ufundishaji wao wa kiswahili,
matokeo yake wanaofundishwa wanaongea kiswahili kibovu kama jaa la vingunguti..
Utawasikia wakise iko vile mei najifill vibad sitoweza kukam kazini leo..
Sasa hiii ni nini?
Lugha ya wapi?
teh teh teh...Wenyewe watakuambia ndio mabingwa wa kiswahili..
Hawa jamaa ni magwiji wa ulaghai na wamejaaliwa nyama ya ulimi.
Wamewapiga magiri wazungu na kuwasadikisha kuwa wanakiweza haswa ..
Wamekuwa wakitamba kwenye vyuo vikuu vya nje kwa ufundishaji wao wa kiswahili,
matokeo yake wanaofundishwa wanaongea kiswahili kibovu kama jaa la vingunguti..
Utawasikia wakise iko vile mei najifill vibad sitoweza kukam kazini leo..
Sasa hiii ni nini?
Lugha ya wapi?
nimekuelewa...Hata Kihispania kinachoongewa Cuba, Mexico, Venezuela, Chile, Puerto Rico etc ni tofauti sana.
Ukisema wanaharibu Kiswahili lazima useme wanaharibu kiswahili gani?
Kwa maana kama unaongelea kuharibu Kiswahili hata watu wa Unguja wanaweza kusema Wabara wanaharibu Kiswahili, kalam wanaiita kalamu, jengine wanasema jingine, markiti wanasema soko, hapana wanasema hakuna etc.
Kwa hiyo kama Wakenya wanataka kusema Kiswahili cha Unguja halafu wakasema hivyo, watakuwa wamekosea, lakini kuna lahaja za Kiswahili za Comoro na Congo huko unaweza kusikia watu wanaongea Kiswahili hata usifahamu wanasema nini.
Kiswahili ni kipana kuliko Kiunguja, Kimrima na Kimvita.
nimekuelewa...
No comment mkuu...It's not about merely "wanaharibu kiswahili" au "hawaharibu kiswahili"
For all I know they could be butchering "Kiswahili Sanifu" according to "Kamusi ya Kiswahili Sanifu"
But you need to qualify that as such.Kwa sababu ukisema "wanaharibu Kiswahili" bila ku qualify Kiswahili gani, wanaweza kuwa wanaongea lahaja za Turkana au Kisomali huko, ambao nao wakikusikia wewe watasema unaharibu Kiswahili.
Unanikumbusha nilikuwa naongea na Wamarekani fulani wakaniambia nina accent, na mimi nikawaambia kwangu mimi wao ndio wana accents. Unless you qualify your statements with your posibly subjective point of view, "wanaharibu kiswahili" can be meaningless.
Ndiyo maana walipojaribu kuandika Biblia ya Kiswahili yenye lahaja nyingi ukakuta kuna a jumble of terms kama "hapo papo" etc etc.
Kwa hiyo ukiongea kwamba wakenya wana butcher Kiswahili Sanifu nitakukubalia, kwa sababu mifano uliyoitoa hapo juu haiendani na Kiswahili sanifu, lakini je, wamesema kwamba wanatumia Kiswahili sanifu? Vipi kama wanatumia Kiswahili cha hybrid ya lahaja za Kenya?
Mnajua nyi waTz mmekua mkituingilia sana joh!
Mnajua nyi waTz mmekua mkituingilia sana joh!
Hata Kihispania kinachoongewa Cuba, Mexico, Venezuela, Chile, Puerto Rico etc ni tofauti sana.
Ukisema wanaharibu Kiswahili lazima useme wanaharibu kiswahili gani?
Kwa maana kama unaongelea kuharibu Kiswahili hata watu wa Unguja wanaweza kusema Wabara wanaharibu Kiswahili, kalam wanaiita kalamu, jengine wanasema jingine, markiti wanasema soko, hapana wanasema hakuna etc.
Kwa hiyo kama Wakenya wanataka kusema Kiswahili cha Unguja halafu wakasema hivyo, watakuwa wamekosea, lakini kuna lahaja za Kiswahili za Comoro na Congo huko unaweza kusikia watu wanaongea Kiswahili hata usifahamu wanasema nini.
Kiswahili ni kipana kuliko Kiunguja, Kimrima na Kimvita.
Mnajua nyi waTz mmekua mkituingilia sana joh!