Wakenya wanaharibu kiswahili?

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,489
79
11. Chora kistari chako vizuri. Kistari chako kiwe cheusi na kisijitokeze nje ya kisanduku


21. Udogo wa neno mtoto ni:
A. jitoto
B. kitoto
C. toto
D. mtoto
Jibu sahihi ni B

huu ni mfano mmoja tu, mingine jisomee mwenyewe yaani ni vituko tupu....

kwa maelezo zaidi soma katika mitihani ya mwaka 2007 na 2008 ya kiswahili ya darasa la saba (KCPE)!


Source: http://www.elimu.co.ke/exams/index.php?option=com_docman&task=cat_view&gid=1&Itemid=1
 
Wenyewe watakuambia ndio mabingwa wa kiswahili..
Hawa jamaa ni magwiji wa ulaghai na wamejaaliwa nyama ya ulimi.
Wamewapiga magiri wazungu na kuwasadikisha kuwa wanakiweza haswa ..
Wamekuwa wakitamba kwenye vyuo vikuu vya nje kwa ufundishaji wao wa kiswahili,
matokeo yake wanaofundishwa wanaongea kiswahili kibovu kama jaa la vingunguti..
Utawasikia wakise iko vile mei najifill vibad sitoweza kukam kazini leo..
Sasa hiii ni nini?
Lugha ya wapi?
 
Wenyewe watakuambia ndio mabingwa wa kiswahili..
Hawa jamaa ni magwiji wa ulaghai na wamejaaliwa nyama ya ulimi.
Wamewapiga magiri wazungu na kuwasadikisha kuwa wanakiweza haswa ..
Wamekuwa wakitamba kwenye vyuo vikuu vya nje kwa ufundishaji wao wa kiswahili,
matokeo yake wanaofundishwa wanaongea kiswahili kibovu kama jaa la vingunguti..
Utawasikia wakise iko vile mei najifill vibad sitoweza kukam kazini leo..
Sasa hiii ni nini?
Lugha ya wapi?

Unajiumiza bure, kile ni kiswahili chao na hicho unachokisifia ni kiswahili chako. Lugha zote ziko hivyo hivyo, hutofautiana kwa kutegemea eneo, nchi hadi bara. Kiingereza cha London hakifanani na cha New York na hata vitabu wanavyovitumia kama dictionary ni tofauti. Kiingereza cha Afrika Kusini hakifanani kabisa na cha Nigeria na hivyo hivyo kiingereza cha Kenya hakifanani na cha New Zealand na kote huko Kiingereza ndiyo lugha kuu ya taifa. Kiswahili nacho kinatofautiana - cha Zaire hakifanani na cha Uganda na cha Zanzibar hakifanani na cha Mwanza, sasa kwa nini useme cha Kenya ni kibovu na huku wanaelewana wazungumzaji. Nimeshuhudia wakitucheka kwa kuongea Kiswahili kibovu hasa tunaposema maiti huyu badala ya maiti hii, au ng'ombe huyu badala ya ng'ombe hii - sasa hapo !
 
Wenyewe watakuambia ndio mabingwa wa kiswahili..
Hawa jamaa ni magwiji wa ulaghai na wamejaaliwa nyama ya ulimi.
Wamewapiga magiri wazungu na kuwasadikisha kuwa wanakiweza haswa ..
Wamekuwa wakitamba kwenye vyuo vikuu vya nje kwa ufundishaji wao wa kiswahili,
matokeo yake wanaofundishwa wanaongea kiswahili kibovu kama jaa la vingunguti..
Utawasikia wakise iko vile mei najifill vibad sitoweza kukam kazini leo..
Sasa hiii ni nini?
Lugha ya wapi?
teh teh teh...
 
Hata Kihispania kinachoongewa Cuba, Mexico, Venezuela, Chile, Puerto Rico etc ni tofauti sana.

Ukisema wanaharibu Kiswahili lazima useme wanaharibu kiswahili gani?

Kwa maana kama unaongelea kuharibu Kiswahili hata watu wa Unguja wanaweza kusema Wabara wanaharibu Kiswahili, kalam wanaiita kalamu, jengine wanasema jingine, markiti wanasema soko, hapana wanasema hakuna etc.

Kwa hiyo kama Wakenya wanataka kusema Kiswahili cha Unguja halafu wakasema hivyo, watakuwa wamekosea, lakini kuna lahaja za Kiswahili za Comoro na Congo huko unaweza kusikia watu wanaongea Kiswahili hata usifahamu wanasema nini.

Kiswahili ni kipana kuliko Kiunguja, Kimrima na Kimvita.
 
Hata Kihispania kinachoongewa Cuba, Mexico, Venezuela, Chile, Puerto Rico etc ni tofauti sana.

Ukisema wanaharibu Kiswahili lazima useme wanaharibu kiswahili gani?

Kwa maana kama unaongelea kuharibu Kiswahili hata watu wa Unguja wanaweza kusema Wabara wanaharibu Kiswahili, kalam wanaiita kalamu, jengine wanasema jingine, markiti wanasema soko, hapana wanasema hakuna etc.

Kwa hiyo kama Wakenya wanataka kusema Kiswahili cha Unguja halafu wakasema hivyo, watakuwa wamekosea, lakini kuna lahaja za Kiswahili za Comoro na Congo huko unaweza kusikia watu wanaongea Kiswahili hata usifahamu wanasema nini.

Kiswahili ni kipana kuliko Kiunguja, Kimrima na Kimvita.
nimekuelewa...
 
nimekuelewa...

It's not about merely "wanaharibu kiswahili" au "hawaharibu kiswahili"

For all I know they could be butchering "Kiswahili Sanifu" according to "Kamusi ya Kiswahili Sanifu"

But you need to qualify that as such.Kwa sababu ukisema "wanaharibu Kiswahili" bila ku qualify Kiswahili gani, wanaweza kuwa wanaongea lahaja za Turkana au Kisomali huko, ambao nao wakikusikia wewe watasema unaharibu Kiswahili.

Unanikumbusha nilikuwa naongea na Wamarekani fulani wakaniambia nina accent, na mimi nikawaambia kwangu mimi wao ndio wana accents. Unless you qualify your statements with your posibly subjective point of view, "wanaharibu kiswahili" can be meaningless.

Ndiyo maana walipojaribu kuandika Biblia ya Kiswahili yenye lahaja nyingi ukakuta kuna a jumble of terms kama "hapo papo" etc etc.

Kwa hiyo ukiongea kwamba wakenya wana butcher Kiswahili Sanifu nitakukubalia, kwa sababu mifano uliyoitoa hapo juu haiendani na Kiswahili sanifu, lakini je, wamesema kwamba wanatumia Kiswahili sanifu? Vipi kama wanatumia Kiswahili cha hybrid ya lahaja za Kenya?
 
It's not about merely "wanaharibu kiswahili" au "hawaharibu kiswahili"

For all I know they could be butchering "Kiswahili Sanifu" according to "Kamusi ya Kiswahili Sanifu"

But you need to qualify that as such.Kwa sababu ukisema "wanaharibu Kiswahili" bila ku qualify Kiswahili gani, wanaweza kuwa wanaongea lahaja za Turkana au Kisomali huko, ambao nao wakikusikia wewe watasema unaharibu Kiswahili.

Unanikumbusha nilikuwa naongea na Wamarekani fulani wakaniambia nina accent, na mimi nikawaambia kwangu mimi wao ndio wana accents. Unless you qualify your statements with your posibly subjective point of view, "wanaharibu kiswahili" can be meaningless.

Ndiyo maana walipojaribu kuandika Biblia ya Kiswahili yenye lahaja nyingi ukakuta kuna a jumble of terms kama "hapo papo" etc etc.

Kwa hiyo ukiongea kwamba wakenya wana butcher Kiswahili Sanifu nitakukubalia, kwa sababu mifano uliyoitoa hapo juu haiendani na Kiswahili sanifu, lakini je, wamesema kwamba wanatumia Kiswahili sanifu? Vipi kama wanatumia Kiswahili cha hybrid ya lahaja za Kenya?
No comment mkuu...
 
atisasa ndo uko nafanya nini we manzi au umelipwa chapaa na ccm? ka vp piga nduru sisi wa genge bana uwez uka tu TI-CHI hio lugha bana sisi ndo twamiliki ati
 
Hao Watoto Wa Kenyata,wawil Nafanya Nao Kazi Kwel Kiswahili Chao Ni Shida,na Mmoja Wao Ninakaa Nae Ni Vile Vile Kiswahili Chao Ni Shida Na Wananikera Kwa Tabia Yao Ya Ujuaji
 
Hata Kihispania kinachoongewa Cuba, Mexico, Venezuela, Chile, Puerto Rico etc ni tofauti sana.

Ukisema wanaharibu Kiswahili lazima useme wanaharibu kiswahili gani?

Kwa maana kama unaongelea kuharibu Kiswahili hata watu wa Unguja wanaweza kusema Wabara wanaharibu Kiswahili, kalam wanaiita kalamu, jengine wanasema jingine, markiti wanasema soko, hapana wanasema hakuna etc.

Kwa hiyo kama Wakenya wanataka kusema Kiswahili cha Unguja halafu wakasema hivyo, watakuwa wamekosea, lakini kuna lahaja za Kiswahili za Comoro na Congo huko unaweza kusikia watu wanaongea Kiswahili hata usifahamu wanasema nini.

Kiswahili ni kipana kuliko Kiunguja, Kimrima na Kimvita.

Umenena vizuri kabisa... hata kiingereza cha england na kile kinaongewa Scotland si sawa japo wote waingereza.
 
Huyu mtoa uzi ako na shida gani? Ye hudhani watz tu ndo hujuanga kiswahili? Sa hapa ndo namshow jinsi vile tunaongea bila shida!
 
kuna ticha 1 wa kenya alikuwa anafundisha wingi na umoja ilikuwa ni balaa tupu.
wingi wa KISU anakwambia MIBISU.. sasa iko ni kiswahil cha wapi.
 
Ingekuwa wanaishia kukiongea tu basi isingekuwa ajabu lakini ndio wanatumia hadi kwenye mitihani hilo sidhani kama ni sawa. Maana hebu chukua mfano leo hichi kiswahili chetu tunachokiongea mtaani ndio kitumike kwenye mitihani!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom