HII NI KAWAIDA KWA WANAUME WANAOENDESHA MAISHA YAO KWA KUTEGEMEA WAKE/MADEMU WAO,
huwa unakuta demu yuko fresh,maisha yana uhakika wa kupata mlo,mavazi ,pombe na bangi,etc,unamtokea anakubali,and after few days unajua kuwa anawachuna mabuzi,majamaa ila wewe ndo anakupa bure huduma etc,sasa ukishaoa au kuishi naye akikuaga hutashangaa sana kwani alishakuwa akifanya before hamjawa na uhusiano,
hawa wanaume siyo kuwa walifunga ndoa halafu baada ya ugumu wa maisha ndio wanawatuma wake zao wakajiuze,
mimi najua cases ambapo unamkuta kijana ana demu and demu wake ana Buzi,limempa gari kumfungulia glosali/bar/pub then jamaa anaendesha gari and sometime anakuwa manager wa pub ambayo anajua fika kuwa kuna MWANAUME mwingine amevilipia, hivyo unakuwa mpole na ukiona pesa za pamba na matumizi zinaisha unamstua wifey aongee na mzee ili kieleweke ,sasa hii haina tofauti na watu wa manzese ,vingunguti ,buguruni etc isipokuwa ni grade tu ya kuuza wake zao,
Serikali na ustawi wa JAMII inabidi kutoa mafunzo zaidi kwa watu hawa wenye mtazamo wa aina hii.