Pamoja sana mkuu... Ubarikiwe piaNashukuru kwa kunikumbusha
Ubarikiwe
Dah! Wakumbushe na kusali kabla ya kulalaNawatakia usiku mwema nyote.
Mungu awakinge na kuwalinda usiku huu mlalapo.
Nawaombea Mungu awaamshe salama kesho asubuhi na kila mmoja wenu aweze kutimiza Yale anayohitaji kuyatimiza hapo kesho.