Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,557
- 19,107
Aamin, Aaamin, Aamin....nawe pia dadaAsante sana nawe pia
Aamin, Aaamin, Aamin....nawe pia dadaAsante sana nawe pia
Amen elvee, nawe pia.Nawatakia usiku mwema nyote.
Mungu awakinge na kuwalinda usiku huu mlalapo.
Nawaombea Mungu awaamshe salama kesho asubuhi na kila mmoja wenu aweze kutimiza Yale anayohitaji kuyatimiza hapo kesho.