Ishmael JF-Expert Member Oct 18, 2011 15,039 6,015 May 6, 2015 #41 TOM CAT said: Waache wachanganyikane na vinyesi vyao kwanza Click to expand... Ndio ngama wanayo kula.
TOM CAT said: Waache wachanganyikane na vinyesi vyao kwanza Click to expand... Ndio ngama wanayo kula.
mzenjiboy JF-Expert Member Aug 28, 2010 907 383 May 6, 2015 #42 Wazanzibari tutakufa na tai shingoni lakini hatutaomba msaada kutoka kwa Watanganyika. Huyo aloweka tangazo hili si Mzanzibari kwani sisi hatujinasibishi na Utanzania.
Wazanzibari tutakufa na tai shingoni lakini hatutaomba msaada kutoka kwa Watanganyika. Huyo aloweka tangazo hili si Mzanzibari kwani sisi hatujinasibishi na Utanzania.
miagie JF-Expert Member Apr 2, 2012 215 76 May 7, 2015 #43 BAK said: Click to expand... Poleni sana Zanzibara, ila kama namuona mshikaji anaenda kutoa maji ndani na beseni lake "Great Never Give up"
BAK said: Click to expand... Poleni sana Zanzibara, ila kama namuona mshikaji anaenda kutoa maji ndani na beseni lake "Great Never Give up"
Arafat JF-Expert Member Nov 17, 2009 2,581 758 May 19, 2015 #44 Huyo Arafat sio Mimi Wakuu naomba nichukue nafasi hii kubainisha hilo.