Wakazi wa UKONGA waapa kuandamana hadi bungeni

Mkuu umesema kweli tupu! Imagine! Jimbo lote la ukonga mbali na kutumia maji taka( maji ya kisima),hakuna hospitali ya maana ukiachilia mbali zahanati zilizopo kama Arafa, na Rugambwa ambazo ndizo tegemeo lako!:flypig:
Ziko kero nyingi kwa wananchi..............

 
poleni wana ukonga ila kupanga ni kuchagua.siku nyingine muwe makini zaidi.muandamane labda hii serikali iliyoachwa na Mungu itawapa haki yenu kama sio kuwapiga mabomu ya machozi.haaaa haha haaaa,kwikwi kwikwi kwiiiiii serikali ipo kifungoni MUNGU AMEIACHA :sleepy:
 
wajifunze kupiga na kulinda kura! sio mnapiga kura kisha mnaenda kusikilizia matokeo baa! matokeo ndio hayo kuchezewa cheusi chekundu!!
 
ndio matokeo ya kuchaguliwa na kukubali. Lazima atimize matakwa ya waliompa kiti kwanza na sio wanaukonga.
 
M4C ikiweka kambi jimboni Ukonga, ubunge mwepesiii kama kusukuma mlevi vile!!! Hili jimbo lipo tupu
 
Mkitaka kumsikia atokee mpinzani aanze kujitangaza jimboni na kumwaga sera atakuja kulalamika.
 
Wacha wafu wazike wafu wenzao!
Inashangaza sana kusikia mtu mzima akisema kwamba watoto wa shule wanadanganyika kwa kubebeshwa mimba. Lakini hatujiulizi kwanini sisi watu wazima (above 18years) tunadanganywa kwa sukari, wali, soda, bia, kangara, key holders, kofia, t-shirts, fedha mamia sifahamu kama kuna anayepewa zaidi ya msimbazi mmoja au la na wengi kiasi gani. Hayo yote aidha mojawapo au kadhaa yanatufanya tundanganyike (tubebe mimba/tupate uchungu/hali mbaya ya maisha) kwa miaka mitano; harakaharaka unaweza kusema bora huyu anayebebeshwa ya miezi tisa kuliko tunaobeba ya miaka 5!!!

Labda kwa kasheshe hizi tulizonazo sasa zitatufanya tukokotoe mahesabu vizuri kati ya kubebeshwa ---- ya miaka 5 au bora ukose raha ya siku moja ambayo itakufanya usijutie miaka mitano itakayofuata!
 
mbona mlivyokuwa mnalishwa wali na kupewa t-shirt hamkutangaza.Pokeeni malipo yenu
Hahahahaha kumbe waliuza kura zao kwaajili ya wali?....wakae kimya mpaka siku watakapoamka na kugundua kuwa KURA zao ni bora kuliko wali na t'shirt.
 
Tena huyo meya mbuz kabisa anahudhuria miss ukonga lakini haitishi hata mkutano wa kutathmini hali ya wananchi,halafu na majitu ya huku yamelala sana,yanapigia kura mafisadi tu na kudanganywa na ngoma za kizaramo,wengine tunajaribu kufanya mabadiliko ,ila kuna wajinga kuliko,hata vijijin wanatushangaa,mimi nipo ukonga-mombasa tangu 2004 hakuna maendeleo yoyote tofauti na upanuzi wa hii barabara kubwa unaoendelea,licha ya kuwa na machinjio ni chakavu na ushuru wake hatujui unafanya nini.
 

Mkuu Mapalmo kwa moto huu Ukongo 2015 ni CDM.
 

Nilishaapa na narudia tena hapa huyu kijana Jerry akigombea Ubunge na mimi tasimama kugombea naye tupambane.Huyu kijana ana majivuno ya hali ya juu na ana dharau kubwa kwa watu.CDM haitakuwa na upinzani wowote dhidi ya huyu kijana asiyejiheshimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…