Uchawi!!?Habari Zenu Wakuu
Kwa wale ambao mnaishi hapa Mkoa mpya wa SONGWE tunaweza kukutana hapa tukapeana Fursa Mbalimbali zinazopatikana katika mkoa huu.
Mkoa wa Songwe una fursa mbalimbali na of course mambo mengi kama ya Kibiashara , Kilimo , Uchawi, utalii, Uchimbaji dhahabu , Ufugaji na mambo mengine Mengi ambayo yanaweza Kumsaidia Mtanzania kujikwamua kiuchumi.
Karibuni Sana wadau kwa Michango mbalimbali. Mimi ndio nimehamia rasmi hapa baada ya Biashara kariakoo Kufungwa nadhani mnaelewa mambo ya kariakoo Kwa sasa.
Ukitaka kwenda Mbangala kuchimba mawe ya dhahabu au kwenda patamela kukata mbao au kwenda maleza kuvua samaki usafiri ni rahisiMkuu kuna Fursa Gani huko Kimbolo??
Nmeishi hapo mkwajuni kipindi cha mwaka Jana kuzuri tatizo usafiri na majiUkitaka kwenda Mbangala kuchimba mawe ya dhahabu au kwenda patamela kukata mbao au kwenda maleza kuvua samaki usafiri ni rahisi
Ipo eneo la bashiteSongwe iko maeneo gani kwa hapa Dar
Mkuu mimi nafanya kazi zangu huku maeneo ya Mbangala kuna sesa ya Mawe tumeigundua tunakula kimyakimyaNi kweli kabisa. Miundombinu ya Maji bado sana hapa mahali. Ila kuna Visima almost Kila Nyumba
Kama uchawi ni fursa nadhan wangekuwa wameroga ccm nchi nzima, but ileje kwetu nyungo/ iselo binge ya biasharaHabari Zenu Wakuu
Kwa wale ambao mnaishi hapa Mkoa mpya wa SONGWE tunaweza kukutana hapa tukapeana Fursa Mbalimbali zinazopatikana katika mkoa huu.
Mkoa wa Songwe una fursa mbalimbali na of course mambo mengi kama ya Kibiashara , Kilimo , Uchawi, utalii, Uchimbaji dhahabu , Ufugaji na mambo mengine Mengi ambayo yanaweza Kumsaidia Mtanzania kujikwamua kiuchumi.
Karibuni Sana wadau kwa Michango mbalimbali. Mimi ndio nimehamia rasmi hapa baada ya Biashara kariakoo Kufungwa nadhani mnaelewa mambo ya kariakoo Kwa sasa.
Maeneo ya Ubungo Msewe Mkuu
Mbona hujasema uvunaji mbao, madini kama Barium, Gypsum, Limestone, makaa ya mawe vinapatikana kwa wingiHabari Zenu Wakuu
Kwa wale ambao mnaishi hapa Mkoa mpya wa SONGWE tunaweza kukutana hapa tukapeana Fursa Mbalimbali zinazopatikana katika mkoa huu.
Mkoa wa Songwe una fursa mbalimbali na of course mambo mengi kama ya Kibiashara , Kilimo , Uchawi, utalii, Uchimbaji dhahabu , Ufugaji na mambo mengine Mengi ambayo yanaweza Kumsaidia Mtanzania kujikwamua kiuchumi.
Karibuni Sana wadau kwa Michango mbalimbali. Mimi ndio nimehamia rasmi hapa baada ya Biashara kariakoo Kufungwa nadhani mnaelewa mambo ya kariakoo Kwa sasa.
Kaa na pesa zako uchimbaji dhahabu achana nao usije ukafilisika, miaka ya zamani ingepiga mpungaMkuu vipi fursa ya kuchimba madini huko?