Wakazi wa Mkoa Mpya wa SONGWE Tukutane Hapa

srinavas

JF-Expert Member
Jun 5, 2011
4,021
3,573
Habari Zenu Wakuu

Kwa wale ambao mnaishi hapa Mkoa mpya wa SONGWE tunaweza kukutana hapa tukapeana Fursa Mbalimbali zinazopatikana katika mkoa huu.

Mkoa wa Songwe una fursa mbalimbali na of course mambo mengi kama ya Kibiashara , Kilimo , Uchawi, utalii, Uchimbaji dhahabu , Ufugaji na mambo mengine Mengi ambayo yanaweza Kumsaidia Mtanzania kujikwamua kiuchumi.

Karibuni Sana wadau kwa Michango mbalimbali. Mimi ndio nimehamia rasmi hapa baada ya Biashara kariakoo Kufungwa nadhani mnaelewa mambo ya kariakoo Kwa sasa.
 
Mimi nilikuwa naishi itenkamatako baadaye nikahamia udinde sasa hivi naishi hapa kimbolokotwe karibu
 
Habari Zenu Wakuu

Kwa wale ambao mnaishi hapa Mkoa mpya wa SONGWE tunaweza kukutana hapa tukapeana Fursa Mbalimbali zinazopatikana katika mkoa huu.

Mkoa wa Songwe una fursa mbalimbali na of course mambo mengi kama ya Kibiashara , Kilimo , Uchawi, utalii, Uchimbaji dhahabu , Ufugaji na mambo mengine Mengi ambayo yanaweza Kumsaidia Mtanzania kujikwamua kiuchumi.

Karibuni Sana wadau kwa Michango mbalimbali. Mimi ndio nimehamia rasmi hapa baada ya Biashara kariakoo Kufungwa nadhani mnaelewa mambo ya kariakoo Kwa sasa.
Uchawi!!?
 
Kam
Habari Zenu Wakuu

Kwa wale ambao mnaishi hapa Mkoa mpya wa SONGWE tunaweza kukutana hapa tukapeana Fursa Mbalimbali zinazopatikana katika mkoa huu.

Mkoa wa Songwe una fursa mbalimbali na of course mambo mengi kama ya Kibiashara , Kilimo , Uchawi, utalii, Uchimbaji dhahabu , Ufugaji na mambo mengine Mengi ambayo yanaweza Kumsaidia Mtanzania kujikwamua kiuchumi.

Karibuni Sana wadau kwa Michango mbalimbali. Mimi ndio nimehamia rasmi hapa baada ya Biashara kariakoo Kufungwa nadhani mnaelewa mambo ya kariakoo Kwa sasa.
Kama uchawi ni fursa nadhan wangekuwa wameroga ccm nchi nzima, but ileje kwetu nyungo/ iselo binge ya biashara
 
Habari Zenu Wakuu

Kwa wale ambao mnaishi hapa Mkoa mpya wa SONGWE tunaweza kukutana hapa tukapeana Fursa Mbalimbali zinazopatikana katika mkoa huu.

Mkoa wa Songwe una fursa mbalimbali na of course mambo mengi kama ya Kibiashara , Kilimo , Uchawi, utalii, Uchimbaji dhahabu , Ufugaji na mambo mengine Mengi ambayo yanaweza Kumsaidia Mtanzania kujikwamua kiuchumi.

Karibuni Sana wadau kwa Michango mbalimbali. Mimi ndio nimehamia rasmi hapa baada ya Biashara kariakoo Kufungwa nadhani mnaelewa mambo ya kariakoo Kwa sasa.
Mbona hujasema uvunaji mbao, madini kama Barium, Gypsum, Limestone, makaa ya mawe vinapatikana kwa wingi
 
Mada nzuri ila mleta mada umejiingiza kwenye upuuzi na kuharibu mada yako
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom