GE2025 Wakazi wa Kitunda Relini: Rais Samia ni Mkombozi wa Watoto wetu

GE2025 Wakazi wa Kitunda Relini: Rais Samia ni Mkombozi wa Watoto wetu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Wakazi wa Kitunda Relini kata ya Kitunda Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam, wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ujenzi wa Shule mpya na ya kisasa yenye madarasa 14, maabara 4, maktaba 1, chumba maalum cha kompyuta (ICT) ,ofisi za walimu 12, pamoja na stoo kubwa 2

Shule hiyo ni mkombozi kwa wananchi wa Kitunda na kata jirani kwa kuwa itapunguza adha ya wanafunzi kusafiri umbali mrefu kufuata masomo

Shule hiyo inatarajiwa kukamilika mnamo mwezi Disemba 2025


 
Back
Top Bottom