Wilaya ya Temeke yote, Manzese, Tandale, Kigogo, mburahati, Buguruni, vingunguti, mnyamani, gongo la mboto, Chanika anza na hizo.Mambo vipi wakubwa, mimi ni mgeni hapa Dar es Salaam, ombi langu kwenu ni kufahamu mitaa ya Dar yenye idadi kubwa ya watu wa kipato cha hali ya chini pia inayoweza kusupport biashara ndogondogo, binafsi nadeal na kupaka rangi na kucha
Ahsante sana, nimeanza kuzunguka mitaa ya mbagala rangi3, japo nina siku 2 ila angalau panaleta matumaini, lakini ombi langu jengine ni idea ya vibiashara vidogo vya kupitisha keenye bars mida ya usiku ili niwe nafanya kazi usiku piaWilaya ya Temeke yote, Manzese, Tandale, Kigogo, mburahati, Buguruni, vingunguti, mnyamani, gongo la mboto, Chanika anza na hizo.
Sawa mkuu nitatembelea huko pia ili niweze pata uzoefu mpya na vipi mkuu unafikiri keenye bars ni bidhaa gani naweza kuwa napitisha usiku zonazonunulika sana,sina uzoefu na mji huu msaada katika hilo piaKupaka rangi na kucha??
Nenda ukae stand ya magufuli pale..wamama wanasubiri usafiri wanapaka rangi
Bar sijui ngoja waje wakina mzee wa bwaksi wakupe majibuSawa mkuu nitatembelea huko pia ili niweze pata uzoefu mpya,na vipi mkuu unafikiri keenye bars ni bidhaa gani naweza kuwa napitisha usiku zonazonunulika sana,sina uzoefu na mji huu msaada katika hilo pia
Sawa mkuu tupo pamojaSawa mkuu nitatembelea huko pia ili niweze pata uzoefu mpya,na vipi mkuu unafikiri keenye bars ni bidhaa gani naweza kuwa napitisha usiku zonazonunulika sana,sina uzoefu na mji huu msaada katika hilo pia
Nguo na viatu vya mtumba.Sawa mkuu nitatembelea huko pia ili niweze pata uzoefu mpya,na vipi mkuu unafikiri keenye bars ni bidhaa gani naweza kuwa napitisha usiku zonazonunulika sana,sina uzoefu na mji huu msaada katika hilo pia
Kwa mida ya usiku vinauzika bar mkuu?Nguo na viatu vya mtumba.
Aende Goba, TEGETA NA KUNDUCHI MTONGANI. HATA BUNJU SIJAONA KIPYA KULEWilaya ya Temeke yote, Manzese, Tandale, Kigogo, mburahati, Buguruni, vingunguti, mnyamani, gongo la mboto, Chanika anza na hizo.
Vitu hatununui usiku siku hizi, zile taa za bar usiku raba mbovu unaiona babu kubwa kesho asubuhi ukiamka unajuta umeingizwa cha kike.Nguo na viatu vya mtumba.
Ndiyo lakini kwa nini uuze night kali anza kupitisha around saa 9 mpaka 12 jioni. Masaa matatu mengi.Kwa mida ya usiku vinauzika bar mkuu?
Noted nimempa time ya kufanya hiyo biz. Night is rare.Vitu hatununui usiku siku hizi, zile taa za bar usiku raba mbovu unaiona babu kubwa kesho asubuhi ukiamka unajuta umeingizwa cha kike.
Kwahiyo tumepitisha Azimio hakuna kununuwa vitu usiku ukiwa bar.
Charge za simu,e arphones,raba za mtumba,shati za mtumba,sandles za kimasai au za kawaida tuSawa mkuu nitatembelea huko pia ili niweze pata uzoefu mpya na vipi mkuu unafikiri keenye bars ni bidhaa gani naweza kuwa napitisha usiku zonazonunulika sana,sina uzoefu na mji huu msaada katika hilo pia
[emoji23][emoji23][emoji23] mzee wa safari lager acha kumpiga fix mwenzioAende Goba, TEGETA NA KUNDUCHI MTONGANI. HATA BUNJU SIJAONA KIPYA KULE
Acha bhassss 😂 mm mbona situmii hizo kitu[emoji23][emoji23][emoji23] mzee wa safari lager acha kumpiga fix mwenzio
huo mda mwingine nakuwa nazunguka kupaka rangiNdiyo lakini kwa nini uuze night kali anza kupitisha around saa 9 mpaka 12 jioni. Masaa matatu mengi.
[emoji23][emoji23][emoji23] sawa mzee wa mirinda nyeusiAcha bhassss [emoji23] mm mbona situmii hizo kitu
Manage muda wako kwani hata na ivyo huwezi fanya kila kitu.huo mda mwingine nakuwa nazunguka kupaka rangi